Bikra ya kutengeneza na bikra original nitaitambua vipi?

Bikra ya kutengeneza na bikra original nitaitambua vipi?

Alexido jz instagram

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2026
Posts
2,259
Reaction score
5,457
Ndugu zangu, Kuna kabinti nili fall in lo❤️. Sasa kila nikiomba mchezo kanadai kenyewe bado, yani bikra, dah nikasema sawa.

Sasa Huwa na dada angu wa mjini, si nika mpa stori akanipongeza ila akanambia nimuoneshe wifi, nikasema sawa, EEH bhana ninemuonesha TU hivi alipo MUONA akaguna mmh.

Nikapata wasi nikamuuliza vipi, akadai sura si ngeni ni kama Alisha MUONA na mwana kijana mdogo mwenzake, akanambia hivi, pambana uitambue hiyo bikra kwanza na mashaka, nika mwambia sijui kuitambua akadai Kuna dawa ya asili inaitwa inarudisha bikra, waulize watu mbinu ni nyingi.

Nikawakumbuka watu wangu wa nguvu jf, pliz nielimisheni.
 
Try ur luck
1780637326936.gif
 
Ndugu zangu, Kuna kabinti nili fall in lo❤️. Sasa kila nikiomba mchezo kanadai kenyewe bado, yani bikra, dah nikasema sawa.

Sasa Huwa na dada angu wa mjini, si nika mpa stori akanipongeza ila akanambia nimuoneshe wifi, nikasema sawa, EEH bhana ninemuonesha TU hivi alipo MUONA akaguna mmh.

Nikapata wasi nikamuuliza vipi, akadai sura si ngeni ni kama Alisha MUONA na mwana kijana mdogo mwenzake, akanambia hivi, pambana uitambue hiyo bikra kwanza na mashaka, nika mwambia sijui kuitambua akadai Kuna dawa ya asili inaitwa inarudisha bikra, waulize watu mbinu ni nyingi.

Nikawakumbuka watu wangu wa nguvu jf, pliz nielimisheni.
Kama wewe mwenyewe ni bikra basi bikra mwenzio utamjua
 
Bro u are asking a right question to wrong people. The onlx person wa kujua hiyo story ni huyo sistako coz kama hadi anajua those madawas kumaanisha anaweza kuwa kauelewa flan so mbane tu atakwambia bt mim najua bikra og ukiipata mtoto atableed hata next day wengi wanakataa kukupa mzigo juu ya maumivu aloyahisi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom