Habari.
Mimi na mke wangu Tumeanza kuishi pamoja tangu 2022 ila kuna changamoto niliziona tangu mpaka leo sijawahi kuona zikibadilika zaidi ya mimi kuwa maskini wa kutupwa.
Mke sio mpenzi wa...
UKIWA CHINI YA MIAKA 45 NI MARUFUKU KUNITAFUTA.
Hello mimi niko single, nahitaji mume, Miaka 45-75.....awe anajiweza kutunza na kuhudumia mke, familia. Dini yoyote, niko tayari kuwa hata mke wa...
Naumia maana yeye aliamini kabisa kuwa nlimfanyia kusudi. Sikumfanyia kusudi wallah wabillah... Ilitokea tu bahati mbaya. Sikupanga kumkomoa kikatili namna ile.
Ni kweli kwa miaka kadhaa...
Nimeikataa kabisa dhana ya kwamba wanawake tunatakiwa kuwa na aibu au kuaibishwa / kudhikakiwa (shame) kwenye kuzungumzia raha zetu (pleasure) au kufurahi kwa namna ambayo tunapendezwa nayo...
Sitaki kupenda nikaishia kuumizwa
Sipendi ngono, natafuta hela. Sitaki mawazo ya kuwazawaza, najipenda mwenyewe tu
Maana nilizaliwa mwenyewe na nitakufa mwenyewe. Siamini kupitia mapenzi...
Habarini wakubwa ninawasalimia.
Mimi Nina mke na watoto 03. Huyu kwa kwanza ni mkubwa ana miaka 23 ameumuka kama kama mamaake anaumbile kubwa na amefanana na mamaake, ni mnene na anakila kitu...
Ni organic compound yenye kiambata cha selenium ndani yake
1.Matumizi ya Diphenyl Selenide (Ph–Se–Ph) katika maisha ya kila siku
2.Diphenyl selenide ni kiwanja cha kikaboni chenye elementi ya...
Bwana ni mwema wakati wote.
Wewe mwanaume mpumbavu unayemfukuza nyumbani binti yako kwa sababu kapata ujauzito akiwa nyumbani nakukumbusha tu kuwa DUNIA HAINA HURUMA.
Iwapo wewe mzazi umeamua...
Unapenda kusikia zile sauti za mahaba au mpenzi / mwenza wako akizitoa zinakukera?
Ushawahi kukutana na miguno au vilio vya ajabu mpaka vikakushangaza? ilikuwaje?
Mimi najitolea kusema kwa...
Nilikuwa nimemwelewa single mother flani yupo tunduma, so mara kazaa nilikuwa napita mtaani kwake karibu na ofisi yake anakojumlisha viazi .
Ukizingatia umri wangu umeenda soon naikuta 40, umri...
"Nimelalia upande, akanyanyua kebo moja, akateremsha mchi ndani ya kinu, nikajitikisa kidogo huku narudisha mkia nyuma, nikatoa sauti ya ulegevu “niwekee yoteeee mume wangu……….”
Kabla sijaanza...
Ni manzi yangu ya kitambo ila ndio hivyo tena hana malengo yoyote yeye anajua kutumiwa na kula tu. Nilimwambia awe na biashara nimuwezeshe afanye biashara ajipatie hela ndogo ndogo za kutumia cha...
Wadau wa JF sina shida na nyie nina shida na hizi ofisi za umma kuweka condom dispensers kwenye korido. Hii imekaa sawa kweli wadau?
Mimi naona haijakaa poa sana sana ni kuhalalisha ufusika...
Habari, ipo hivi kuna demu tangu mwaka jana mwezi wa nane nilikua namfukuzia tukaanza mahusiano japo kwenye tendo hataki maana ameshika dini na ni bikra , mwaka huu kuna kipindi alisema hataki...
Wazazi kuna jambo ambalo inabidi leo mlielewe ama mlizingatie wakati wa kuozesha binti zenu.
Kuna kasumba ya kutajiana mahari kubwa halafu mnaanza kuvutana kama vile mnauziana bidhaa.
Sasa ni...
Nini kifanyike kitaongeza thamani kwa wanaume wengi kutoa mahari kwa wanawake wanaowaoa?
kwa sababu kuna mtu wanaishi hata miaka 20 na hajalipiwa mahari?
mtu kafariki ndio inagundulika hajalipa mahari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.