Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Habari. Mimi na mke wangu Tumeanza kuishi pamoja tangu 2022 ila kuna changamoto niliziona tangu mpaka leo sijawahi kuona zikibadilika zaidi ya mimi kuwa maskini wa kutupwa. Mke sio mpenzi wa...
9 Reactions
23 Replies
595 Views
UKIWA CHINI YA MIAKA 45 NI MARUFUKU KUNITAFUTA. Hello mimi niko single, nahitaji mume, Miaka 45-75.....awe anajiweza kutunza na kuhudumia mke, familia. Dini yoyote, niko tayari kuwa hata mke wa...
1 Reactions
6 Replies
743 Views
Naumia maana yeye aliamini kabisa kuwa nlimfanyia kusudi. Sikumfanyia kusudi wallah wabillah... Ilitokea tu bahati mbaya. Sikupanga kumkomoa kikatili namna ile. Ni kweli kwa miaka kadhaa...
7 Reactions
24 Replies
405 Views
Jamani nimeongea mpaka nimechoka. Huyu mwanamke anachunguza simu yangu kuliko maelezo. Kila nikibadili password anayo. Ananiangalia kwa makini anamemorize kisha anakuja kufungua simu kuchunguza...
26 Reactions
164 Replies
2K Views
Nimeikataa kabisa dhana ya kwamba wanawake tunatakiwa kuwa na aibu au kuaibishwa / kudhikakiwa (shame) kwenye kuzungumzia raha zetu (pleasure) au kufurahi kwa namna ambayo tunapendezwa nayo...
12 Reactions
205 Replies
2K Views
Sitaki kupenda nikaishia kuumizwa Sipendi ngono, natafuta hela. Sitaki mawazo ya kuwazawaza, najipenda mwenyewe tu Maana nilizaliwa mwenyewe na nitakufa mwenyewe. Siamini kupitia mapenzi...
11 Reactions
134 Replies
2K Views
Habarini wakubwa ninawasalimia. Mimi Nina mke na watoto 03. Huyu kwa kwanza ni mkubwa ana miaka 23 ameumuka kama kama mamaake anaumbile kubwa na amefanana na mamaake, ni mnene na anakila kitu...
12 Reactions
168 Replies
3K Views
Ni organic compound yenye kiambata cha selenium ndani yake 1.Matumizi ya Diphenyl Selenide (Ph–Se–Ph) katika maisha ya kila siku 2.Diphenyl selenide ni kiwanja cha kikaboni chenye elementi ya...
2 Reactions
84 Replies
689 Views
Upite utaratibu Ukimkuta sio bikra usimtolee mahari. Itaongeza thamani ya kujitunza
3 Reactions
20 Replies
312 Views
Bwana ni mwema wakati wote. Wewe mwanaume mpumbavu unayemfukuza nyumbani binti yako kwa sababu kapata ujauzito akiwa nyumbani nakukumbusha tu kuwa DUNIA HAINA HURUMA. Iwapo wewe mzazi umeamua...
21 Reactions
116 Replies
5K Views
Unapenda kusikia zile sauti za mahaba au mpenzi / mwenza wako akizitoa zinakukera? Ushawahi kukutana na miguno au vilio vya ajabu mpaka vikakushangaza? ilikuwaje? Mimi najitolea kusema kwa...
39 Reactions
1K Replies
37K Views
Nilikuwa nimemwelewa single mother flani yupo tunduma, so mara kazaa nilikuwa napita mtaani kwake karibu na ofisi yake anakojumlisha viazi . Ukizingatia umri wangu umeenda soon naikuta 40, umri...
7 Reactions
14 Replies
372 Views
Kichwa kinajieleza wakuu utamjuaje""rafiki wa kweli. yani kwamba huyu ni rafiki wa kweli kwako utamjuaje Karibuni kwa maoni:
2 Reactions
37 Replies
374 Views
"Nimelalia upande, akanyanyua kebo moja, akateremsha mchi ndani ya kinu, nikajitikisa kidogo huku narudisha mkia nyuma, nikatoa sauti ya ulegevu “niwekee yoteeee mume wangu……….” Kabla sijaanza...
23 Reactions
373 Replies
4K Views
Ni manzi yangu ya kitambo ila ndio hivyo tena hana malengo yoyote yeye anajua kutumiwa na kula tu. Nilimwambia awe na biashara nimuwezeshe afanye biashara ajipatie hela ndogo ndogo za kutumia cha...
9 Reactions
62 Replies
781 Views
Wadau wa JF sina shida na nyie nina shida na hizi ofisi za umma kuweka condom dispensers kwenye korido. Hii imekaa sawa kweli wadau? Mimi naona haijakaa poa sana sana ni kuhalalisha ufusika...
9 Reactions
41 Replies
780 Views
  • Redirect
Navutiwa sana na nyeto najisevia tu Sitaki ngono na sitamani mapenzi na sivutiwi na wadada
7 Reactions
Replies
Views
Habari, ipo hivi kuna demu tangu mwaka jana mwezi wa nane nilikua namfukuzia tukaanza mahusiano japo kwenye tendo hataki maana ameshika dini na ni bikra , mwaka huu kuna kipindi alisema hataki...
7 Reactions
186 Replies
2K Views
Wazazi kuna jambo ambalo inabidi leo mlielewe ama mlizingatie wakati wa kuozesha binti zenu. Kuna kasumba ya kutajiana mahari kubwa halafu mnaanza kuvutana kama vile mnauziana bidhaa. Sasa ni...
10 Reactions
61 Replies
735 Views
Nini kifanyike kitaongeza thamani kwa wanaume wengi kutoa mahari kwa wanawake wanaowaoa? kwa sababu kuna mtu wanaishi hata miaka 20 na hajalipiwa mahari? mtu kafariki ndio inagundulika hajalipa mahari
6 Reactions
57 Replies
530 Views
Back
Top Bottom