Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.3K
Threads
7.9K
Posts
231.3K
N:B Ilikuwa enzi hizo pesa ilipokuwa ikipewa uzito mdogo kwenye mapenzi Uopoaji una mbinu nyingi sana ikiwemo kutumia mbinu hii adimu ya kutumia mistari ya wasanii walioumiza vichwa vyumbani hadi...
3 Reactions
52 Replies
458 Views
Kati ya hao wanaume na wewe, nani mwenye akili? Endelea kukaza fuvu. Na hizo ndiyo ndoa sasa! Kila mwanaume hapo kamzidi mkewe kwa miaka 46+. Unaishi na mwanamke kachakaa kibayolojia na...
13 Reactions
54 Replies
768 Views
WAMAMA PUNGUZENI KAULI HIZI KWA WAUME ZENU 🙏 Kila mzazi ana haki ya kumlea mtoto wake. Malezi si jukumu la mama peke yake wala baba peke yake… ni ushirikiano 🤝 Lakini kuna kauli ambazo...
3 Reactions
3 Replies
291 Views
Sina hakika kama alikuwa anadaiwa kodi ya nyumba ila nilimkubalia kuwa ili aichukue hiyo hela sharti ahudhurie kunako gheto langu. Yeye akajidai hana muda kazi zinambana nimtumie tu. Nikamwambia...
7 Reactions
17 Replies
317 Views
Kipindi nilikuwa naishi Tanzania, kabla sijatimkia huku Tunisia, nilipata bahati ya kuwa na mapenzi ya mbali Mimi nilikuwa naishi Dar nikampata mwanamke anaishi Moro. Lile penzi kwa kweli...
5 Reactions
24 Replies
340 Views
Pesa yako unapeleka wapi ilihali hujawahi daiwa Kodi ya nyumba, bank biashara kakufungulia mme, mume ana madeni bank, mengine alikopa kuendesha misheni zake akajikita kumwekeza pia kwako...
4 Reactions
16 Replies
210 Views
EPUKA KUWA MTUMWA WA HISIA ZAKO MWENYEWE📌📌 Watu wengi leo wana ongozwa na hisia kuliko akili. Ukikasirika unafanya maamuzi ya haraka, ukiumizwa una jihukumu, ukifurahi unatoa ahadi usizo weza...
3 Reactions
6 Replies
150 Views
Please, wanajamii forums, mwenye anafahamu dawa ya mwanamke kukojoa kitandani amsaidie jamaa yangu! Yaani anaweza akaacha mwezi mzima hajakojoa, then anakuja kushtukia anakojoa tena kitandani...
2 Reactions
12 Replies
209 Views
Budget ya kharusi yangu ya kislamu nipo sahihi ya siku Moja Kama una experience na ndoa ya kislamu naomba Ushauri Chakula 500,000/ Mavazi 500,000/ Usafiri wa kuoa 500,000/ Tent 100,000/ Madufu...
13 Reactions
115 Replies
970 Views
Wakuu Mnaendeleaje Mimi Ni Kijana Sahivi Nina Miaka 22 Ila Sijawahi Sex Kabisa Na Mwanamke Yoyote Na Ninaogopa Sana Hilo Tatizo Linaweza Kuwa Nini Kwa wenye utalaamu Kabisa Na Ikoje Hiii??
29 Reactions
490 Replies
14K Views
Hapa nataka tuelimishane kidogo jinsi ilivyo vigumu kuzuia USALITI kwa nguvu za kibinadam. Hili ni suala ambalo hakuna kanuni inayokubali kuuzuia kwa ukamilifu wa 100% kwani binaadamu ni kiumbe...
51 Reactions
146 Replies
16K Views
Ulikutana na mkeo akiwa tayari ana mtoto anaitwa John. Baada ya kuishi pamoja mkazaa mtoto mkamwita George. Je, utamwita mkeo mama John au mama George?
17 Reactions
157 Replies
2K Views
Huwa nawaza sana Tumeambiwa tutaoewa wakufanana nasisi Kwanini walevi hawaoi walevi wenzao jamani? Ama wazinzi hawaoi wazinzi wenzao?? Wezi hawaoi wezi wenzao? Utakuta jitu bar limelewa mbaya...
3 Reactions
11 Replies
194 Views
Kabla hujakata tamaa kwa sababu umehisi umetengwa, umeachwa, au watu uliowaamini wamekupa mgongo, mkumbuke Pluto. Pluto aliwahi kuitwa sayari ya tisa kwenye mfumo wa Jua. Miaka mingi alikaa...
13 Reactions
10 Replies
267 Views
  • Redirect
Uzi huu ni kwa ajili ya kufurahsha na kupoteza muda,coment chochote unachotaka kuandika!
1 Reactions
Replies
Views
Mallerina, usiku silali,nakuota wewe tu,naomba unikubalie uwe mpenzi wangu,nitakufanya upendeze kama malaika.
7 Reactions
78 Replies
856 Views
Picha linaanza unamtongoza anakukubalia, zinapita siku mbili anakuomba hela kiroho safi unampatia, hujakaa sawa baada ya siku mbili mbele kizinga kingine. Unasema kwakuwa ni mtu wangu ngoja...
26 Reactions
170 Replies
2K Views
Kuna wakati nilifikiri suala la kuposa, kuoa ni jambo jepesi, ila kwa figisu zile za mashemeji sijaamini macho yangu…kuna level ilifikia nilitaka kuwaachia dada yao ila kuna wazee waliniita...
0 Reactions
2 Replies
234 Views
Kwema wadau mke wangu aliondoka kitambo nahitaji arudi au huko alikopanga awe mke wangu wa pili najua akija zalishwa na wengine nitaumia mara mbili yake kumbukeni niliumia sana kipindi aliondoka...
3 Reactions
32 Replies
577 Views
Wanawake nimewanyooshea mikono aisee yaani hawa wanawake ni hatari aisee yaani mwanamke nimemtongoza within this week na hata wiki yenyewe haijafika mwanamke ananiambia kodi imeishia,gesi imeisha...
5 Reactions
29 Replies
439 Views
Back
Top Bottom