Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Najua mnaweza sema kwanini asiondoke kimyakimya....hapana ...Kuna wapendwa wasiponiona huanzisha thread...ndiyo...am not special ila naona ni upendo tu walionao kwa Wana family wote wa JF...
17 Reactions
89 Replies
3K Views
Good afternoon Wana jamii forums, Poleni na hongereni kwa majukumu. Mimi ni mwanamke miaka 47 single Maza wa watoto wawili ,Mume wangu alifariki miaka miaka mingi imepiata ila kabla ya kufariki...
11 Reactions
74 Replies
934 Views
Guyz, nimegundua kuna trend mpya mjini, wanawake wengi hawa wenye manyonyo makubwa a.k.a mtindi na wale wenye manyonyo ya kati a.k.a mabolibo hawavai kabisa bra, yaani mwanamke kavaa dera lake...
13 Reactions
164 Replies
3K Views
Halow mpo salama? Hako ka msemo ka SAMAHANI MPENZI WANGU NI SHETAN KANIPITIA huwa kana sehem maalumu ya kutumika, sana sana kanatumiwa na jinsia flani hivi imefika hatua mpaka inakera kusikia...
2 Reactions
22 Replies
3K Views
Nmekuwa mara nyingi nikipata visafari vya nje (namshukuru Samia maana kwa kweli tunazunguka zunguka nchi za watu tushindwe sisi tu) basi sikosi kununua Unyunyu wa ukweli huko kwa watu. Moja ya...
6 Reactions
23 Replies
560 Views
Anachoongea kwa maandishi "Na nikuambie siri ya watu wanaorudi katika maisha yako. Wanao rudi au unaokubali kurudi. Kwanza, lazima ujuwe kwamba katika level ya watu kudharaulika, wewe uko kwenye...
2 Reactions
8 Replies
259 Views
Yani ninayo yaona marekani nitafoauti na ya huk kwetu bongo.huku marekan mademu hawaombagi hela wao ndoh wanakupa hela. yani huk marekani mademu...
3 Reactions
27 Replies
592 Views
Nadhani hii sio mimi pekeangu, kuna jamaa ukimuangalia hadi unamuonea huruma, unajiuliza " hivi huyu atapata mpenzi kweli ?" . Ukweli wanawake wanahuruma sana , na kama isingekua hizi sifa za...
17 Reactions
100 Replies
2K Views
Heri ya mwaka mpya na habari za siku nyingi. Mwaka jana nilikutana na huyu binti wa kirangi katika mazingira yangu ya kazi, sikujua kama ni mke wa mtu tukawa kama marafiki huku nikimsaidia mambo...
10 Reactions
47 Replies
4K Views
Namwangalia tu huyu secretary niliyepewa. Namcheki nasema hii Anakuja kufungua mlango kwa makalio ndo anayatumia kusukumia mlango hapo mkononi eti kashika documents au kaniletea kahawa na...
4 Reactions
24 Replies
545 Views
Nimekuwekea hapa zisome Tabia za mwanaume mwenye malengo na wewe. 1. Anakupigia simu mara kwa mara na kukuuliza siku yako imeendaje. Anafanya hivi kirafiki na kwa upendo, haigizi. Anakupenda...
8 Reactions
88 Replies
11K Views
Mwanaume mwenzangu ukimzalisha mwanamke kama hujamuoa basi hudumia usiache damu yako ikahangaika nawewe una uwezo. Note :nimemaliza sijataja jina la mtu
1 Reactions
2 Replies
69 Views
Makamu wa rais Samia Suluhu Hassan, amesema pamoja na wadhfa alionao, lakini mbele ya mume wake atapiga goti ili kuonesha mahaba aliyonayo kwake. Alikuwa akiwaambia wanawake kuwa hawako sawa...
47 Reactions
250 Replies
33K Views
Hatari sana leo Nimetembelewa na mtoto heavy ndo mambo yangu Lakin tunamalizia niende viwanja Kwanza tuka swim , tukapunga upepo kwa pool , sasa hivi nimpeleke maeneo, Maana ni mgeni, nauli...
3 Reactions
26 Replies
554 Views
Wadau huyu dogo ana umri wa 33 nimemfukuza bado anaganda. Mme wangu aliniasa nimuache kwa muda ajipange lkn mm naona anazidi kung'ang'ana. Ni muda mrefu tangu aombe kujipanga, nishamchoka ni...
13 Reactions
97 Replies
2K Views
Ushawahi kupigwa huo mkwara? ilikuwaje kuwaje na je ulipewa au ulitoa tamu? au ulitoka kapa? Acha nianze: Kitambo hicho chuo tulikua kipindi cha mitihani, kaboyfriend kakaniomba niende room kwake...
32 Reactions
420 Replies
9K Views
Tendo la sex linamdhalilisha mwanamke na kumfedheesha sana Jinsi anavyoshughulishwa wakati wa kufanya sex, , abinywee, akunjweee, daah alaf ukute apewi pesa daah sex haipo fair Kwa mwanamke ni...
12 Reactions
192 Replies
3K Views
Wakuu habari ya uzima wenu na majukumu ya maendeleo yenu naamini MUNGU anazidi kuwapigania usiku na mchana. Basi twende moja kwa moja kwenye maada,kiukweli wakuu nakabiliwa na stress mpaka kuna...
8 Reactions
91 Replies
1K Views
Ni week ya kwanza na mwezi wa kwanza wa mwaka. Tarehe mbili Mr Filajim yupo ofisini kwake hajui aanze na nini. Bado ana uchovu na kwa mbali anasikia maumivu ya kichwa. Wengi wapo likizo isipokuwa...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Anyway leo nimekaa mahali penye umati wa watu wengi kidogo. Katika kutizama kwangu, nikawa nimeishia kukagua maumbo ya wanawake na sura zao. Hitimisho. Kati ya wanawake 258 niliowatazama kwa...
30 Reactions
261 Replies
10K Views
Back
Top Bottom