1. Mwanamke akikupenda tambua ni vile tu ameamua kukupenda, usianze kujisifu kuwa una mistari mizuri ndio maana ameingia box. Mwanamke kama hakupendi hata uende na maneno ya dhahabu hawezi...
Nimepokea kwa Masikitiko makubwa taarifa mbaya na yenye Kuumiza kabisa ya Mwanaume mmoja huko Mkoani Mwanza Kuamua kwa Makusudi ‘ Kumuua ‘ Mwanae wa Kumzaa kabisa kwa Kumchoma Visu sehemu...
Raha hua Ni pale tu Unapo karibia/unapo mwaga wazungu tena nayo hua inachukua sekunde kadhaa tu. Zile dakika zingine huwa Ni mbwembwe tuu
Kuna watu watabisha hapa
Nawasalimu.....!!!
Baada ya salamu. Nijikite moja kwa moja kwenye mada.
Kuna binti mmoja mzuri sana imetokea kumpenda Sana. Kila nikimpiga simu naambiwa Subiri nitakutafuta baadae, lakini...
Kuna dada mmoja namfukuzia kishenzi lakini kila nikirusha kamba zangu naambiwa ASANTE kwa Kunipendaa...
Daaaaah huwa inakera kiasi kwamba hadi inaboa asa kwa hiyo Asante nimekupa nini?
Funguka...
Kuna lijamaa limesemaje hapa pub kuwa "Wadada wanaovaa mawigi wateng muda kuwaombea watu wanaokubali kunyoa nywele zao ili wake wapendeze wao huku".
Je in halali kutenga muda kwaajili ya hilo?
Leo ndo siku kubwa watu wengi Leo wataenda kufanya mabadiliko inawezekana kabisa wakina Nani uwe na ukaribu nao kuanzia kesho kaa kijanja.hatutaki gumzo tunataka kuanzia kesho tutafakari.hatutaki...
Habari zenu watanzania wenzangu!!ebana nimekua tu nikickia watu wanasema mdada flani ni material wife,lakini cjabahatika kujua hasa sifa znazowafanya waitwe hvo.tafadhali kwa yeyote anaejua sifa...
Nashindwa kumuacha mchepuko ingawa ananigarimu....kutokana na uzuri alionao pamoja na chura matata,najikuta namlipia ada ya chuo,namvisha,nampa matumizi na bado namlisha.Naona ugumu kumuacha kwa...
Leo nimekumbuka tukio moja
hii ni true story
kuna siku tupo na jamaa zangu watatu pamoja na mimi ni wa nne
tunatoka hostel wakati huo niko chuo tunaenda kununua chakula mida ya saa mbili usiku...
Mnamo Februari 14, 2019, Huduma ya Simu kwa Mtoto Unguja tulipokea simu kutoka kwa binti akiomba msaada kulipa bili ya matibabu ya mtoto wa kiume wa dada yake ambaye amekuwa akiugua kwa miezi...
Unapoyatafakari mapenzi kwa kina unaweza kujikuta unacheka tu mwenyewe, unajua kila mwanaume ana jinsi yake ya kutongoza, jinsi nyingine ni vichekesho tupu!
Zamani kule vijijini kuna watu...
Habarini!! I hope mko poa.
Nina swali haswa kwa wanaume, ila kina mama/dada pia mnaweza changia.
Humu kuna threads kibao waliojifunza mapenzi/kujamiiana kwa wadada wa kazi nyumbani, wengine...
Kuna misemo mingi sana ambayo wahenga walituachia, laiti tungeifanyia kazi maisha yangekuwa poa kabisa aisee. Ila binadamu wengine wana masikio yaliyozibwa pamba, macho yana upofu na mwishowe ni...
1. Sio Mahusiano yote huishia kwenye Ndoa. Baadhi ya Mahusiano yapo kwa sababu fulani, mengine ni ya msimu na baadhi hudumu mpaka Ndoa. Hivyo, kama mahusiano yako yamefeli, usisikitike, kulikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.