Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,796
- 48,044
Leo nimekumbuka tukio moja
hii ni true story
kuna siku tupo na jamaa zangu watatu pamoja na mimi ni wa nne
tunatoka hostel wakati huo niko chuo tunaenda kununua chakula mida ya saa mbili usiku
Kufika maeneo fulani ikaja gari ,ikasimama pembeni yetu,dereva akamuita rafiiki yetu mmoja [we ... njoo] , rafiki yetu huyo akaenda kufika wakawa wanaongea huku sisi tunamsubiri rafiki yetu, aliporudi jamaa akatuambia ex wake alikua kwenye hiyo gari yupo na bwana wake ambaye ndio dreva na jamaa kamuita mwanetu kamuuliza
Unamjua .... [jina la yule demu] jamaa akauliza kwani vipi ? akaulizwa ni nani yako ? basi wakazinguana pale,
Nikaamini ule msemo usimuamini mwanamke
hii ni true story
kuna siku tupo na jamaa zangu watatu pamoja na mimi ni wa nne
tunatoka hostel wakati huo niko chuo tunaenda kununua chakula mida ya saa mbili usiku
Kufika maeneo fulani ikaja gari ,ikasimama pembeni yetu,dereva akamuita rafiiki yetu mmoja [we ... njoo] , rafiki yetu huyo akaenda kufika wakawa wanaongea huku sisi tunamsubiri rafiki yetu, aliporudi jamaa akatuambia ex wake alikua kwenye hiyo gari yupo na bwana wake ambaye ndio dreva na jamaa kamuita mwanetu kamuuliza
Unamjua .... [jina la yule demu] jamaa akauliza kwani vipi ? akaulizwa ni nani yako ? basi wakazinguana pale,
Nikaamini ule msemo usimuamini mwanamke