Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
Habari zenu watanzania wenzangu!!ebana nimekua tu nikickia watu wanasema mdada flani ni material wife,lakini cjabahatika kujua hasa sifa znazowafanya waitwe hvo.tafadhali kwa yeyote anaejua sifa za hao material wife azinimwagie hapa..swali la nyongeza,huwa wanachakachulika?over.