kucheka ruksaKuna dada mmoja namfukuzia kishenzi lakini kila nikirusha kamba zangu naambiwa ASANTE kwa Kunipendaa...
Daaaaah huwa inakera kiasi kwamba hadi inaboa asa kwa hiyo Asante nimekupa nini?
Funguka kama ushawahi kuexperience hiloo na mbinu za kujikwamua juu ya hilo?
Hahhahahahaha!Asprin nitongoze tena
Ni kweli ila siyo kwa kamba zangu,ukiona mpaka nimekuja kuyatoa ya moyoni humu inabd uelewe kuwa Simba akikosaga nyama anakula majani.......Hahaaaa. Lol
Inategemea na aina ya kamba unazozirusha Mkuu huenda ikawa kamba zako zinaendana kabisa na hiyo ahsante.
Kwakweli anatakiwa aseme direct nataka ile kitu namesa mwensie. Sasa kama anamwambia Dada nimekupenda, hayo ndo majibu yakeHahaaaa. Lol
Inategemea na aina ya kamba unazozirusha Mkuu huenda ikawa kamba zako zinaendana kabisa na hiyo ahsante.
Hahahaaaa. Aiseeeee.Kwakweli anatakiwa aseme direct nataka ile kitu namesa mwensie. Sasa kama anamwambia Dada nimekupenda, hayo ndo majibu yake
Kwakweli anatakiwa aseme direct nataka ile kitu namesa mwensie. Sasa kama anamwambia Dada nimekupenda, hayo ndo majibu yake
Kawaida sana ujue hataki kuku discourage ukaumia ndo maana anakujibu hivyo we potezea utakwua na amani sana tu.Kuna dada mmoja namfukuzia kishenzi lakini kila nikirusha kamba zangu naambiwa ASANTE kwa Kunipendaa...
Daaaaah huwa inakera kiasi kwamba hadi inaboa asa kwa hiyo Asante nimekupa nini?
Funguka kama ushawahi kuexperience hiloo na mbinu za kujikwamua juu ya hilo?
akikujibu hivyo anza kujiongeza...Kuna dada mmoja namfukuzia kishenzi lakini kila nikirusha kamba zangu naambiwa ASANTE kwa Kunipendaa...
Daaaaah huwa inakera kiasi kwamba hadi inaboa asa kwa hiyo Asante nimekupa nini?
Funguka kama ushawahi kuexperience hiloo na mbinu za kujikwamua juu ya hilo?