Ukiwa umeoa au ukiwa unaishi kinyumba na mwanamke, most of the time mnapokua nyumbani/ chumbani huwa wanapenda kuwa nusu uchi.
Hakuna fetish naipenda kama kumuona mwanamke wangu akiwa nusu uchi...
wengi wanainfilioliti complex muda mwingi wanaishi kwa kuona wanaonewa.
Kwa sababu wameishi wakiteseka wanadhani kutesa na kunyanyasa watu ndio mfumo sahihi wa maisha.
wengi hawaelewi na hawaoni...
Habari wakuu
Baada ya wazaz wetu kufariki na nyumba kukosa wa kuingalia ikabidi bro wangu ahamie pale yeye na mke wake japo namimi nnaishi umbali mdogo kutoka hapo hom jap sijaoa.
Sasa mwezi...
Umejaliwa uzazi na uwezo wa kupanga chumba cha pili haukaongezeka. Kamwe usiruhusu watoto wako wakalale kwa jirani.
Unaweza hata kuchukua mkopo na kununua bunk bed kama ya kwenye picha. Watoto...
Nilienda gest house flan na manzi, Nilishangaa sana kuulizwa Kitambulisho cha taifa.kanikomalia kabisa hakutaka kunipa room.
Nilisepa na mzigo sikula.
Hizi sheria jamani jaribuni kubadilisha nyie...
Hii video, ni pale Binti wa kichina anapomtambulisha rafiki wake wa kiume (Boyfriend) kwa wazazi wake.
Haya maisha yangekuwa Tanzania sidhani kama vijana wengi wangemudu kuoa wadada, maana...
Mtu anavyokufanya ujione kama HAKUHITAJI basi usiondoke kwake ili ajihisi hatia au asikitike maana hilo haliwezi kutokea.
.
Ondoka katika maisha yake kwa sababu kubwa moja tu, kwamba hujaona...
''My daughters if a relationship fails....atleast let him just leave you with a big hole in the heart,with time another man will fill it....but if he leaves you with a big hole down there ....then...
Habari wajumbe,
Nina rafiki yangu, umri miaka 30. Amenisimulia kisa chake na mchumba wake na amehitaji ushauri wangu.
Huyu rafiki yangu ni mfanyakazi wa kampuni binafsi, kazi zake zina mlazimu...
Nilipogundua jamaa Yangu mmoja ambaye tulikuwa na urafiki pia met wangu kikazi alikuwa ananizunguka nikiwa sipo anaongea vibaya kuhusu Mimi na tuliyopanga wakati wa mikakati atekelezi nilianza...
Nyie mnaonyesha mapenzi yenu barabarani kwa kumbatiana na kushikana mkono mkitembea bila kujali wengine wanaotumia barabara mnatukera Sana ,sio kwamba ninawaonea wivu tambueni tu hili jiji la...
Wasalaam!
Hapa nawaza sijui itakuwaje, kuna mwanamke tulifamihana last year kupitia humu Jf. (Jina sitaki)
Huyu mwana mama ananikubali kinyama kutokana na swaggaz zangu zilizojaa uongo uongo...
[emoji117]1. Huwa na tamaa ya mambo yasiyo ya lazima.
Wanawake wengi wapendao pesa huwa na tamaa ya mambo yasiyo ya lazima, mambo ambayo hayagusi maisha moja kwa moja. Hata nilipokuwa shule...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.