Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

--Mlevi --Mwizi --Mchafu --Mkorofi Cc Zero IQ
3 Reactions
27 Replies
4K Views
DEAR LADIES.... Kama umechoshwa na text za majamaa huko inbox/ pm / dm. Kila ukijitahd kuwakataza Hawakuelewi Ukimblock huyu mwingine anakuja Kabla hujaanza kuja kutuambia huku basi I have a tips...
4 Reactions
39 Replies
4K Views
Je umeachika bila sababu??? Tunarusha mawe usikukucha kwenye bati la Ex wako, tunaku*nya pia nje ya chumba au nyumba yake kwa bei nafuu kabisa. Mikoani pia tunatuma vijana. Ajira ngumu acha...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
" WANAUME Kama tulivokubaliana kwenye kikao chetu kilichopita kuwa kitasa cha mlango wa chumba cha house [emoji537] girl kiwe kibovu milele "
8 Reactions
18 Replies
2K Views
...Habari za mda huu... Mliopo katika ndoa na msio kuwepo katika ndoa.. Nawasalimu... Bila kuchelewaa kabisa nianze. Moja kwa moja na mada apo juu inayosema.. Hivi kwanini wanaume huumia zaidi...
3 Reactions
74 Replies
7K Views
Tokea dunia iwepo binadamu aumbwe wa kwanza alishindwa kuwa jasiri mbele ya hili tunda akavunja maagano na muumba. Hatimae wakatoka kwenye starehe . Nakutafuta kwa jasho. Samson alitoa siri...
2 Reactions
41 Replies
4K Views
Wakati nkiwa sekondari simu za mkononi zilikuwa bado hazijaenea sana,ndo kwanza zilikuwa zinaingia nchini!Njia kuu ya kukutana na msichana wako ilikuwa kwa kuandikiana barua,au mnaambiana mkutane...
6 Reactions
71 Replies
10K Views
Holla... It has been ages and everyday is a new day, being in love with Dadii makes me regain my grooves.... This song says all.... We didn't build it over night.... Cause we've been strong...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Huwaga nasikia ati wasambaa wana jua sana yale mambo yetu yaleee hivi ni kweli??Pia nasikia wanajua sana kulea wanaume na kupiga hapo ndio kabisa.Naomba kuwafahamu hawa watu
0 Reactions
320 Replies
116K Views
Habari za Mei Mosi wakuu Wakati fulani nilikua nafanya kazi katika kampuni moja hivi nikapewa pikipiki aina ya Yamaha kwa ajili ya kwenda nayo field na kurudisha report. Siku moja nikaenda...
11 Reactions
88 Replies
9K Views
Kwa upande wangu namuamini sana mpenzi wangu sina hakika kama anachepuka kutokana na mawasiliano yetu japo tupo mbali..nipo huru kuwasiliana naye muda wowote nikitaka..... kazi yake na yangu...
7 Reactions
111 Replies
14K Views
Kwaresma hiyo wapendwa, wakati wa kutafakari maisha ya hapa duniani na kumwomba Mungu atusamehe dhambi zetu. Back to the thread.. Unakuta mwanamke kaolewa, ana mimba ya mumewe lakini bado...
7 Reactions
45 Replies
12K Views
Wanabodi tarehe kama ya leo miaka minne iliyopita sitaishau kwenye maisha kwani ni siku niliyofunga ndoa na mke wangu mpendwa mrs Kurunzi nakumbuka ni mwaka mmoja baada ya kuwa member kamili hapa...
4 Reactions
47 Replies
6K Views
Jamaa yangu mmoja kaopoa mrembo bonanza la shika ndika wakaanza kuwasiliana taratibu mambo yakakolea akawa ananipa updates kwamba mrembo anamtaka jamaa aende kwako apafahamu jamaa akawa anasita...
17 Reactions
49 Replies
5K Views
Rais wetu wa vibobo amekamatwa ila tuseme kweli alikuwa anatuinspire mabaharia wa kike. Hichi kibobo changu sijui nakufunguaje ila mpaka mwaka uishe nitakuwa na kiwanja au gari. Mimi nashauri...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Kituo cha Huduma ya Simu kwa Mtoto kilipokea simu kutoka baba mmoja ambaye aliripoti kwamba mke wake amebakwa. Mhalifu ambaye alikuwa akiendesha gari alipaki na kuomba kujisaidia nyumbani kwao na...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Hivi inakuaje Great thinker wa JF unaingia mkataba na mtu ili uweze kupata ruhusa ya kufurahia tendo la kibaiolojia ? Ukiamua kufurahia tendo la kibaiolojia nje na mtu uliyeingia nae mkataba eti...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Watu wengi hawajui kujichagulia marafiki wa kuendana nao, na sio marafiki tu, hata wapenzi wao pia hawajui kujichagulia Sasa njia rahisi ya kujua ni rafiki yupi mnaendana kiukweli, au ni mpenzi...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
"It was never meant for you"! Kama ipo ipo tu, fanya jitihada lakini usilazimishe, unadhani wewe ndio utakuwa wa kwanza?? au wewe ndio utakuwa wa mwisho?? Look my brother/sister, love yourself...
4 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom