EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,709
- 35,712
1. Mwanamke akikupenda tambua ni vile tu ameamua kukupenda, usianze kujisifu kuwa una mistari mizuri ndio maana ameingia box. Mwanamke kama hakupendi hata uende na maneno ya dhahabu hawezi kukupenda.
2. Demu akikupa penzi ni vile tu yeye ametaka, sio uanze kutangaza mtaani kuwa unajua sana kuomba.
3. Hii tabia ya kumuharibia demu jina kuwa ni mtaro ife. Huenda wewe unayo ndogo kiasi cha kushindwa kutosha.
4. Usiwe mwanaume mjinga kazi yako kuwaambia wanawake wengine vile mwanamke wako hukusumbua.
5. Demu wako akikuomba pesa, ondoa ujinga wa kuanza kumtangaza kuwa anapenda pesa, wewe toa. By the way hakuna mtu yeyote asiyependa pesa.
Alamsiki!!
2. Demu akikupa penzi ni vile tu yeye ametaka, sio uanze kutangaza mtaani kuwa unajua sana kuomba.
3. Hii tabia ya kumuharibia demu jina kuwa ni mtaro ife. Huenda wewe unayo ndogo kiasi cha kushindwa kutosha.
4. Usiwe mwanaume mjinga kazi yako kuwaambia wanawake wengine vile mwanamke wako hukusumbua.
5. Demu wako akikuomba pesa, ondoa ujinga wa kuanza kumtangaza kuwa anapenda pesa, wewe toa. By the way hakuna mtu yeyote asiyependa pesa.
Alamsiki!!