Elly ceejr
Member
- Dec 24, 2016
- 51
- 17
Niend direct kweny maada
Kuna binti nmetokea kumpenda sana nmeanz nae mahusiano mwaka jana tumekua tukiendlea vzur san lakin siku ya jana cjamuelew kabsa aliniaga anaenda kukutana na kaka ake Kurasin mida ya saa 1 ucku na atarud saa 2 ucku lkn mpk saiz bado hajarud nlijarbu kumpgia cm mara6 hakupokea baadae akatuma text kwamba amelew sn hawez kurud, nkamuulza tangu ln umeanz kunyw pombe?, kama kwel ni kaka ako kwann akunyweshe pombe had ulew ushindwe kurud?, Hakujibu chochote mi nkalal asubuh anaanz kuntumia text cjamjb chchte
Naomben ushaur wenu nfanyaje?
Kuna binti nmetokea kumpenda sana nmeanz nae mahusiano mwaka jana tumekua tukiendlea vzur san lakin siku ya jana cjamuelew kabsa aliniaga anaenda kukutana na kaka ake Kurasin mida ya saa 1 ucku na atarud saa 2 ucku lkn mpk saiz bado hajarud nlijarbu kumpgia cm mara6 hakupokea baadae akatuma text kwamba amelew sn hawez kurud, nkamuulza tangu ln umeanz kunyw pombe?, kama kwel ni kaka ako kwann akunyweshe pombe had ulew ushindwe kurud?, Hakujibu chochote mi nkalal asubuh anaanz kuntumia text cjamjb chchte
Naomben ushaur wenu nfanyaje?