BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 5,188
- 14,346
Dunia inabadilika na uhalisia wa mambo unabadilika Leo hii ningepewa fursa ya kupendekeza maana mpya ya upendo ningesema upendo ni pesa kwa sababu zifuatazo.
1. Upendo ni hali ya kujali na kusaidiana.. hivi dunia ya leo unaweza kumjali mtu au kumsaidia mtu bila pesa.?
2. Upendo ni mvuto(muonekano wa mtu).. Nani anaweza kuvutiwa na kitu chenye muonekano mbaya? na ili uwe na mvuto mzuri lazima uwe na pesa za kukufanya mtanashati au mrembo.
3. Upendo ni heshima. Anayekupenda lazima hakuheshimu.. Leo hii nani atakuheshimu ikiwa hauna pesa.. Ndo maana masikini wengi tunachukuliwa poa sana
4. Upendo ni furaha. Furaha ya kweli ipo kwenye pesa.
5. Upendo ni Faraja kwa wale wenye matatizo.. Ndo maana kwenye misiba na matatizo ya ugonjwa inafanyika michango ya rambirambi ili kuwafariji wafiwa.
Moja ya vitu muhimu zaidi kuvifanya duniani ni kutafuta pesa tu. Ukikosa pesa familia yako yenyewe itakosa upendo na wewe na utakuwa useless. Pesa siyo kitu tu bali ni kila kitu.
1. Upendo ni hali ya kujali na kusaidiana.. hivi dunia ya leo unaweza kumjali mtu au kumsaidia mtu bila pesa.?
2. Upendo ni mvuto(muonekano wa mtu).. Nani anaweza kuvutiwa na kitu chenye muonekano mbaya? na ili uwe na mvuto mzuri lazima uwe na pesa za kukufanya mtanashati au mrembo.
3. Upendo ni heshima. Anayekupenda lazima hakuheshimu.. Leo hii nani atakuheshimu ikiwa hauna pesa.. Ndo maana masikini wengi tunachukuliwa poa sana
4. Upendo ni furaha. Furaha ya kweli ipo kwenye pesa.
5. Upendo ni Faraja kwa wale wenye matatizo.. Ndo maana kwenye misiba na matatizo ya ugonjwa inafanyika michango ya rambirambi ili kuwafariji wafiwa.
Moja ya vitu muhimu zaidi kuvifanya duniani ni kutafuta pesa tu. Ukikosa pesa familia yako yenyewe itakosa upendo na wewe na utakuwa useless. Pesa siyo kitu tu bali ni kila kitu.