Burudani ya kuangalia AFCON 2019

Burudani ya kuangalia AFCON 2019

Optimistic_

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2017
Posts
2,347
Reaction score
1,860
Jamani kiukweli nina hamu na kuangalia haya mashindano japo liking'amuzi nalotumia inaonekana hawaonyeshi...

Rasmi mwaka huu nmeamua kutupa na kuacha kabisa kutumia hiki ki STARTIMES

Yaani wanaboa afu wanaulizwa kwenye page yao INSTAGRAM badala ya kujibu wanapost tamthilia za WARRIS seriously??? Yaaani wanashindwa kwenda na currently events????

Yaani nna hasira paka nataka kupasuka...

Naomben ushauri ninunue king'amuzi gani kizuri....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom