Heron
JF-Expert Member
- Oct 4, 2013
- 1,946
- 1,806
Salam kwenu wakuu.
Wanawake bana nashindwa kabisa kuwaelewa.
Hivi inawezekana Mwanamke akatoka home kuelekea katika mihangaiko yake bila kuvaa hata PICHU?🙄🙄🙄
Leo Asubuhi wakati naelekea katika mihangaiko,nikiwa katika Bajaj
napita maeneo ya Wilaya ubungo, kukawa na kaupepo Fulani hivi, nilishangaa sana baada ya upepo kufunua skirt ya Dada mmoja aliyekuwa amesimama nje ya Genge LA bidhaa, na KUMUONA AKIWA MTUPU KABISAAA,
nikabakia na maswali hivi hawa viumbe na aina ya nguo zao,na maumbile yao yalivyo bado wanathubutu kutokuvaa CHUPI?
Wanawake bana nashindwa kabisa kuwaelewa.
Hivi inawezekana Mwanamke akatoka home kuelekea katika mihangaiko yake bila kuvaa hata PICHU?🙄🙄🙄
Leo Asubuhi wakati naelekea katika mihangaiko,nikiwa katika Bajaj
napita maeneo ya Wilaya ubungo, kukawa na kaupepo Fulani hivi, nilishangaa sana baada ya upepo kufunua skirt ya Dada mmoja aliyekuwa amesimama nje ya Genge LA bidhaa, na KUMUONA AKIWA MTUPU KABISAAA,
nikabakia na maswali hivi hawa viumbe na aina ya nguo zao,na maumbile yao yalivyo bado wanathubutu kutokuvaa CHUPI?