Ningetaka kujua

Ningetaka kujua

Nyox official

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
597
Reaction score
455
Polen kwa majukumu wakuu,kama kichwa kinanavojieleza hapo juu,ningetaka kujua,iv inakuaje x wako anakua anakusumbua sanaa na txt pamoja na calls nyingi tu huku keshamua kukuacha na kwenda kwa mwngine tena kwa mbwembwe kibao?
 
Polen kwa majukumu wakuu,kama kichwa kinanavojieleza hapo juu,ningetaka kujua,iv inakuaje x wako anakua anakusumbua sanaa na txt pamoja na calls nyingi tu huku keshamua kukuacha na kwenda kwa mwngine tena kwa mbwembwe kibao?


Bado ana kulove huyo, wewe mkubalie tu.
 
labda huko alikokwenda matarajio yake yamekua tofauti,vitu vidogo vidogo vinamkumbusha thamani yako….usirudi hapo...tena badilisha number na kila kitu..hakujua thamani yako alivyokua na wewe mpaka mkaachana...peleka upendo kwingine mwaya...
asante kwa ushaur dada e2,by the way najua anatak kujua habar zaku, ila kote nmempa ban ya maana had rafk zake xo anaona njia rahic n kufany direct msg and calls
 
Mapenzi ni life style ya watu wawili.... Pengine kule kakutana na life style ambayo hakuitegemea......

Alilenga vitu, sura / umbo na vyote vikawepo ila life style ikawa hovyo....
 
Mapenzi ni life style ya watu wawili.... Pengine kule kakutana na life style ambayo hakuitegemea......

Alilenga vitu, sura / umbo na vyote vikawepo ila life style ikawa hovyo....
yawezekana pia mkuu,ila kitu ambacho ctaki n aina yyte ya mawasiliano kat yang na yy
 
Back
Top Bottom