Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,085
- 16,063
Ok,wakuu,..weekend yangu imeanza leo,.
to the point
Mim bwana nmepitia meng kwenye mahusiano,nshapenda saana had kua chiz,..namii nkipenda nmependa kwel naweza penda mwanamke ile kupitiliza ,yan ile ya had machoz sometime ktk situations mbalimbali
Tatzo langu ni 1: I CHEAT OFTENLY
Yaan dhambi hii kiukweliii...........
Na niko vzur kwenye kumfanya mtu asijue kama anachitiwa,kabsaaa.
Na mahusiano yangu meng ni yale ya loong term,yaan 3yrs < etc..ila huyo mwanamke hapo within hua nakua nacheat yan,vzur tuu
Am very innocent machon,na hua nahakikisha hata nikiachana na mwanamke,yaan ALL THE GUILT na blame ziwe juu yake....yaan ajifeel dahh.au namwonea mshikaji
Ma X wangu weng had leo tumeachana ila had leo sjawai ku admit kua nmewai CHEAT..kama,ugomv ulikua cheating
So weng had leo niko nao peacefull sabab wanajua wao ndo chanzo cha kuachana so weng huwa napasha viporo kiroho swafi na tunawasiliana fuleshi tuu..
N.B sinaga tabia ya kurudia mpenz ile mazima,ila kupasha huwa napasha,na hiko ndicho kinawaumiza zaidi...
Enewei,.....UZI tayar (najua malipo ni hapahapa dunian,..najua hilo)
to the point
Mim bwana nmepitia meng kwenye mahusiano,nshapenda saana had kua chiz,..namii nkipenda nmependa kwel naweza penda mwanamke ile kupitiliza ,yan ile ya had machoz sometime ktk situations mbalimbali
Tatzo langu ni 1: I CHEAT OFTENLY
Yaan dhambi hii kiukweliii...........
Na niko vzur kwenye kumfanya mtu asijue kama anachitiwa,kabsaaa.
Na mahusiano yangu meng ni yale ya loong term,yaan 3yrs < etc..ila huyo mwanamke hapo within hua nakua nacheat yan,vzur tuu
Am very innocent machon,na hua nahakikisha hata nikiachana na mwanamke,yaan ALL THE GUILT na blame ziwe juu yake....yaan ajifeel dahh.au namwonea mshikaji
Ma X wangu weng had leo tumeachana ila had leo sjawai ku admit kua nmewai CHEAT..kama,ugomv ulikua cheating
So weng had leo niko nao peacefull sabab wanajua wao ndo chanzo cha kuachana so weng huwa napasha viporo kiroho swafi na tunawasiliana fuleshi tuu..
N.B sinaga tabia ya kurudia mpenz ile mazima,ila kupasha huwa napasha,na hiko ndicho kinawaumiza zaidi...
Enewei,.....UZI tayar (najua malipo ni hapahapa dunian,..najua hilo)