Katika maisha yangu ya Mapenzi hakuna Neno "Samahani"

Katika maisha yangu ya Mapenzi hakuna Neno "Samahani"

Zero IQ

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2016
Posts
13,985
Reaction score
25,200
Nilishalia sana kwa mrembo flani kipindi hicho, Nilishaomba sana samahani kwa makosa ambayo ata sikuwa nimefanya mie,

Kuanzia mapenzi yanipe Funzo nimegundua kitu kimoja neno Samahani kwenye mapenzi ni Unafiki,

Nikikukosea nakili ndio kweli nimekosea nakupa nafasi ya kunihukumu lakini kamwe usitegemee kama kuna siku nitakuja kukuomba msamaha, "Maisha yako yote sahau hiyo"

Ukinikosea kwangu nakupima kwa ukubwa wa kosa lako na kukuhukumu lakini kamwe usitegemee kuomba msamaha nikakusamehe,

Nachukia Neno "Samahani" kwenye mapenzi, ukiona mtu mzima katenda kosa na kuomba Msamaha ujue alidhamilia lakini alijua hautojua itakuwa siri yake,

"mtu na Akili yake anatenda kosa la usaliti huku akijua wazi ni maumivu makubwa kwa mwenza wake endapo akijua lakini kwa kuwa kuna neno Samahani anajua atalitumia hilo na atasamehewa "

Ni Upumbavu wa kiwango cha makinikia kuamini Neno Samahani linalotoka kinywani kwa mwenza wako katika Mapenzi.





Cc Zero IQ.
 
Leo umeandika kitu kinachoeleweka.

Hata Mimi samahani kwenye usaliti huwa siitaki kabisa. Kwa sababu ile samahani huwa like " baby samahani kwa kuwa umegundua nime cheat ". Maana yake nisingegundua angekula buyu.

Unless akitoka kucheat aniambie samahani kabla sijagundua mwenyewe.
 
Leo umeandika kitu kinachoeleweka.

Hata Mimi samahani kwenye usaliti huwa siitaki kabisa. Kwa sababu ile samahani huwa like " baby samahani kwa kuwa umegundua nime cheat ". Maana yake nisingegundua angekula buyu.

Unless akitoka kucheat aniambie samahani kabla sijagundua mwenyewe.
Of course hakuna samahani kwenye mapenzi
 
Wanawake wana kisasi sana. Anakupa mbunye ukimfurahisha, anakunyima ukimuudhi au ukimkosea na pia atampa yoyote hata asiye mpenda ili tu kukukomoa.
Usiombe mwanamke akukomoe, anaweza hata kuchukua mswaki wako akasugulia choo.
JIFUNZE KUMWAMBIA UMPENDAE SAMAHANI.
HUMBLENESS PAYS
 
Nilishalia sana kwa mrembo flani kipindi hicho, Nilishaomba sana samahani kwa makosa ambayo ata sikuwa nimefanya mie,

Kuanzia mapenzi yanipe Funzo nimegundua kitu kimoja neno Samahani kwenye mapenzi ni Unafiki,

Nikikukosea nakili ndio kweli nimekosea nakupa nafasi ya kunihukumu lakini kamwe usitegemee kama kuna siku nitakuja kukuomba msamaha, "Maisha yako yote sahau hiyo"

Ukinikosea kwangu nakupima kwa ukubwa wa kosa lako na kukuhukumu lakini kamwe usitegemee kuomba msamaha nikakusamehe,

Nachukia Neno "Samahani" kwenye mapenzi, ukiona mtu mzima katenda kosa na kuomba Msamaha ujue alidhamilia lakini alijua hautojua itakuwa siri yake,

"mtu na Akili yake anatenda kosa la usaliti huku akijua wazi ni maumivu makubwa kwa mwenza wake endapo akijua lakini kwa kuwa kuna neno Samahani anajua atalitumia hilo na atasamehewa "

Ni Upumbavu wa kiwango cha makinikia kuamini Neno Samahani linalotoka kinywani kwa mwenza wako katika Mapenzi.

Msamaa ni agizo la mungu sio mwanadamu
Maandiko biblia inasema samehe sabini mara sabini.
Acha kibuli






Cc Zero IQ.
 
Achana na neno "SAMAHANI", Hata kumtamkia mtu mzima "NAKUAMIN" Katika suala la mahusiano ujue umejiroga.
 
Nilishalia sana kwa mrembo flani kipindi hicho, Nilishaomba sana samahani kwa makosa ambayo ata sikuwa nimefanya mie,

Kuanzia mapenzi yanipe Funzo nimegundua kitu kimoja neno Samahani kwenye mapenzi ni Unafiki,

Nikikukosea nakili ndio kweli nimekosea nakupa nafasi ya kunihukumu lakini kamwe usitegemee kama kuna siku nitakuja kukuomba msamaha, "Maisha yako yote sahau hiyo"

Ukinikosea kwangu nakupima kwa ukubwa wa kosa lako na kukuhukumu lakini kamwe usitegemee kuomba msamaha nikakusamehe,

Nachukia Neno "Samahani" kwenye mapenzi, ukiona mtu mzima katenda kosa na kuomba Msamaha ujue alidhamilia lakini alijua hautojua itakuwa siri yake,

"mtu na Akili yake anatenda kosa la usaliti huku akijua wazi ni maumivu makubwa kwa mwenza wake endapo akijua lakini kwa kuwa kuna neno Samahani anajua atalitumia hilo na atasamehewa "

Ni Upumbavu wa kiwango cha makinikia kuamini Neno Samahani linalotoka kinywani kwa mwenza wako katika Mapenzi.





Cc Zero IQ.
Niksikia hilo neno ndio naongeza adhabu
 
Mi sikuyapitia kama uliyoyapitia eti kulia lia nin..

But hitimisho lako la kutokuwa na neno samahani katika mahusiano tuko pamoja.

Na nimefanya utafiti nimegundua ni kitu safi saaana kamwe hautokuja kulia eti umezinguliwa na mwanamke mara sijui nin..

Ni njia safi saaana kwa asilimia mia inayokupa uhuru wa kuamua ni jinsi gan uishi.
 
kugongewa kunauma sana

nkikumbuka niligongewa akat mi nazinguliwa kupewa niaje afu anaenda kumpa jamaa
nabaki tu kutowaamini madem
😬😬😬😬😬
 
Back
Top Bottom