Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 39,924
- 61,695
Maisha ya ndoa raha sana hasa pale mnapokuwa mnatafuta watoto;akiwa jikoni unampa kitu,bafuni unampa kitu,chumbani unampa kitu,sebuleni unampa kitu,kama uko kwenye uzio pia unampa kitu,akiwa anapanga vyombo kabatini unampa kitu....muda mwingi ni wakupeana vitu tu.Jamani peaneni vitu...