Sisi wanaume tumeandikiwa kula kwa jasho, na lazima tuwahudumie wapenz wetu ipasavyo, kama ni hela lazima tuwape hamtakiw kuteseka kifedha hata kidogo.
Pia mwanaume kufanya mapenz kabla ya ndoa...
Nina shida jamani, ni mwezi wa tatu sasa uume wangu hausimami nyumbani kabisa, kwa maana hiyo sijafanya mapenzi na mke wangu kwa kipindi chote hicho. Cha ajabu kabisa nina ka king'amuzi nje...
#Nina miaka 26
#Masters degree holder
#Tutorial Assistant katika moja ya University hapa Tz
Namtafuta mchumba awe:
#charming person
#age 19-23
#Christian
#Awe humble
#Atleast awe na elimu hata...
Habari ya jumamosi.
Ni jamaa yangu mmoja akaniambia ebhana ee nataka nijilizishe kama shemeji yako hachepuki. Nikamuuliza why, akasema yaani naona siku hizi yuk busy na simu sana hadi anapoteza...
Wakuundugu...kuna ile mtu unavokua una imagine uje kuwa nan,lets say,Dr..pilot.engeneer etc...
Sasa hapohapo watu huwa wana imagine mademu/wanaume wanaowish waje kuwa nao wakioa,
Kwa mfano...
Habari zenu wana JF! Jamani leo tena kuja kwenu ili kubadirishana mawazo juu ya swala zima la mahusiano. Ni miaka kadhaa sasa nipo kwenye mahusino. Ila kinacho nishangaza ni kuwa sijawahi kudumu...
Tunakwama wapi ukiingia kwenye daladala unakuta wanawake Ni wengi Kuliko wanaume hata katika vituo vya daladala na maeneo yote mitaani mpaka NYUMBANI kwenu wanawake Ni wengi Kuliko wanaume.
Lakini...
Huyu mwanamke nilikutana nae miaka 8 iliyopita ,alikua na mwili wa wastani kabisa na nilienjoy penzi lake kwa kila style niliyomuweka
Sasa baada ya kupata kazi ya mshahara mnono na kuzaa tena...
Kwa wazazi, je ni sahihi kumnunulia binti yako wa miaka 14-15 simu hizi za kisasa huku bado anasoma?
Naomba kujua mawazo yenu, je ni sahihi na kama sio sahihi pia kwa sababu gani?
Ahsante.
Mimi ninalilia penzi, wewe unachezea penzi
Daah unajua huwa naona wivu sana hasa pale napoona wapendanao wamekaa somewhere wakipeana mapenzi, mahaba, wakienjoy pamoja daah huwa inaniuma sana wivu...
1. Viatu huisha upande mmoja
2. Lazima awe shabiki wa *_YANGA_*
3. Hunywea maji kwenye jagi hata kama kuna glass au kikombe
4. Kupenda kuvaa suruali zenye rangi ya kung'aa.
5. Kufungua soda...
Salaam wakuu.
Ni kuhusu yule bidada anaenikasirikiaga kazini, weekend hii kidogo tu nipatikane.
Bahati ilikuwa upande wangu nimesevu kwenye tundu la sindano.
Mwanamke mbaya huyu looh!!
Unajua mm sijawahi kuwaelewa wanaume.
Sasa baada ya kumtoa babu kwa bibi huwa mnamchungulia ili iweje?
Hata mkienda toilet lazima umshike umuangalie kwanza babu huwa mnamaanisha nini?
Kwa kweli...
Katika makuzi yangu naweza kusema wanaume wanapokuwa katika rika dogo hutilia maanani sana mahusiano yao na huweka malengo ya muda mrefu na wenzi wao kwa kuwa fikra ya mwanaume ndiyo huanza...
Salamu wakuu,
Maendeleo ya teknolojia yana changamoto zake na pia faida kubwa sana kwenye maisha yetu, hii pia imeonekana kwenye malezi ya watoto na maisha yao kwa ujumla
Je, watoto wanaolelewa...
Habari wana jukwaa wenzangu,
Ushauri wengu ndio maamuzi yangu,ilikua mwaka jana nilipo achana na huyu binti niliyekutana naye kama miaka miwili nyuma,nilikaa naye home kwetu miezi miwili na nusu...
Mwaka 1995 Nyerere alinukuliwa akisema kwamba "Dhambi ya ubaguzi ni sawa na dhambi ya kula nyama ya mtu. Ukianza kula nyama ya mtu hutoacha mpaka siku unaingia kaburini"
Watu wengi mpaka leo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.