Je ni sahihi mtoto wa kike mwenye miaka 15 kumiliki simu(smart phone) huku bado anasoma?

Mukulu wa Bakulu

JF-Expert Member
Aug 12, 2014
4,052
12,902
Kwa wazazi, je ni sahihi kumnunulia binti yako wa miaka 14-15 simu hizi za kisasa huku bado anasoma?

Naomba kujua mawazo yenu, je ni sahihi na kama sio sahihi pia kwa sababu gani?

Ahsante.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom