jmour
Member
- May 12, 2019
- 82
- 26
Habari wana jukwaa wenzangu,
Ushauri wengu ndio maamuzi yangu,ilikua mwaka jana nilipo achana na huyu binti niliyekutana naye kama miaka miwili nyuma,nilikaa naye home kwetu miezi miwili na nusu na baadae akadai ni mja mzito nilikubali kwani kipindi chote hicho nilikua naye na hata kipindi cha hedhi kilikua kikimkutia home,sasa baada ya wiki mbili alisafiri kuelekea mkoani na nilikua nikiwasiliana naye vizuri tu,baada ya wiki kama mbili hivi alikata mawasiliano ghafla na ikafika kipindi akaniblack list nilikua nikimtafuta mara kwa mara kwani nilijua yu mjamzito lakini niligonga mwamba baada ya kuona mawasiliano ni magumu kwake,baada ya miezi mitatu hivi alinitafuta nilishtuka na kuona kama maajabu hivi mtu alipoteza mawasiliano kupatika tena ilikua kama ndoto hivi,nilimsalimia na kuanza kumuuliza chanzo cha kukata mawasiliano ghafla kwa kweli alinipa sababu ambazo sikumuelewa kabisa lakini nikamuuliza vipi kuhusu ujauzito wangu akadai alishatoa kwa kua nyumbani kwao walimpigia sana kelele,basi nikamwambia sawa ila kila mtu afate mambo yake tangu siku hiyo sikua na mawasiliano naye,
Baada ya mda kidogo kipita alinipigia na kuniambia mimba yangu inamsumbua sana nilichomjibu ni kwamba mimba alishatoa kwa hiyo mimba aliyo nayo si yangu,akaendela kunilazimisha na kunisumbua sana ilifikia wakati nilibadili mpaka namba ya mawasiliano kwa kipindi chote hicho sikuwasiliana nae.
Sasa ameibuka tena anasema kajifungua na anahitaji nilee mtoto hata kama mimba niliikataa,nifanyeje hapo? Ushauri wenu ni muhimu sana
Ushauri wengu ndio maamuzi yangu,ilikua mwaka jana nilipo achana na huyu binti niliyekutana naye kama miaka miwili nyuma,nilikaa naye home kwetu miezi miwili na nusu na baadae akadai ni mja mzito nilikubali kwani kipindi chote hicho nilikua naye na hata kipindi cha hedhi kilikua kikimkutia home,sasa baada ya wiki mbili alisafiri kuelekea mkoani na nilikua nikiwasiliana naye vizuri tu,baada ya wiki kama mbili hivi alikata mawasiliano ghafla na ikafika kipindi akaniblack list nilikua nikimtafuta mara kwa mara kwani nilijua yu mjamzito lakini niligonga mwamba baada ya kuona mawasiliano ni magumu kwake,baada ya miezi mitatu hivi alinitafuta nilishtuka na kuona kama maajabu hivi mtu alipoteza mawasiliano kupatika tena ilikua kama ndoto hivi,nilimsalimia na kuanza kumuuliza chanzo cha kukata mawasiliano ghafla kwa kweli alinipa sababu ambazo sikumuelewa kabisa lakini nikamuuliza vipi kuhusu ujauzito wangu akadai alishatoa kwa kua nyumbani kwao walimpigia sana kelele,basi nikamwambia sawa ila kila mtu afate mambo yake tangu siku hiyo sikua na mawasiliano naye,
Baada ya mda kidogo kipita alinipigia na kuniambia mimba yangu inamsumbua sana nilichomjibu ni kwamba mimba alishatoa kwa hiyo mimba aliyo nayo si yangu,akaendela kunilazimisha na kunisumbua sana ilifikia wakati nilibadili mpaka namba ya mawasiliano kwa kipindi chote hicho sikuwasiliana nae.
Sasa ameibuka tena anasema kajifungua na anahitaji nilee mtoto hata kama mimba niliikataa,nifanyeje hapo? Ushauri wenu ni muhimu sana