KWANI KATIKA MAPENZI HAYA YANIKUTE MIMI PEKEE

KWANI KATIKA MAPENZI HAYA YANIKUTE MIMI PEKEE

Kigorohe

Senior Member
Joined
May 21, 2019
Posts
160
Reaction score
255
Habari zenu wana JF! Jamani leo tena kuja kwenu ili kubadirishana mawazo juu ya swala zima la mahusiano. Ni miaka kadhaa sasa nipo kwenye mahusino. Ila kinacho nishangaza ni kuwa sijawahi kudumu na mwanamke au binti zaidi ya miezi 7! Huwa napenda sana nidumu na binti ila ikitokea tukafanya tendo huwa naanza kumpotezea kabisa. Binti wa mwisho nilimpata mwaka jana mwezi 12 nikampenda sana na nikafikilia kumuoa kabisa lakini sijui kilitokea nini nikajikuta namwambia wazi kabisa "kuanzia leo naomba tuachane". Jamani wanaume mliodumu adi kuoana naombeni ushauri. Nikiisha mwacha huwa naumia sana kwa siku zingine ila najikuta tu nimeacha. Karibuni sana
 
Fanya hivi[emoji1313][emoji1313][emoji1313]

Akizingua mzabue mabanzi na mitama
FB_IMG_15459366628191829.jpeg
 
Omba toba kwa Mungu maana kila nyuchi inakuja na roho yake u never know
 
emu njoo tutest mitambo😅😅
 
M
Habari zenu wana JF! Jamani leo tena kuja kwenu ili kubadirishana mawazo juu ya swala zima la mahusiano. Ni miaka kadhaa sasa nipo kwenye mahusino. Ila kinacho nishangaza ni kuwa sijawahi kudumu na mwanamke au binti zaidi ya miezi 7! Huwa napenda sana nidumu na binti ila ikitokea tukafanya tendo huwa naanza kumpotezea kabisa. Binti wa mwisho nilimpata mwaka jana mwezi 12 nikampenda sana na nikafikilia kumuoa kabisa lakini sijui kilitokea nini nikajikuta namwambia wazi kabisa "kuanzia leo naomba tuachane". Jamani wanaume mliodumu adi kuoana naombeni ushauri. Nikiisha mwacha huwa naumia sana kwa siku zingine ila najikuta tu nimeacha. Karibuni sana
Mkuuu acha kukimbia majukumu
 
Hapana hicho hata siwezi Fanya. We endelea tu kujipigia
haina gharama,,,, hakuna cha mpaka kesho sijui niko msimbazi,,,,no stress kama hizi zikusumbuazo.....just silence.....unamdownload hata Jlo,,,,,kimya kimya na revola yako na kitaulo maalum......hutorudi hapa na hayo maswaibu...
 
Back
Top Bottom