Zero Competition
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 310
- 451
Siku hizi ukimtongoza msichana kitu cha kwanza anachofikiria ni kwamba unataka kumuoa kitu ambacho sio kweli.
Binti akimaliza chuo atahangaika kutafuta ajira lakini akiona ajira haipatikani basi atahangaika kutafuta mwanaume wa kumuoa akiamini ndoa itamtatulia matatizo yake mwisho wa siku anaambulia ahadi feki mwishowe anaishia kuchezewa.
Kawaida yetu sisi wanaume ni kwamba tunapomtongoza mwanamke haimaanishi kwamba nimeshaona unafaa kwa ndoa bali nakua nimekutamani sababu nimeona tu una chura mkubwa au umbo zuri na lengo langu kubwa ni kufanya mapenzi na wewe ila ndoa itakuja baadae baada ya mapenzi kuimarika.
Ndoa ni kitu kizuri na ni jambo la kumpendeza mwenyezi Mungu ila binafsi nikiona mwanamke ana uhitaji sana wa ndoa ya haraka kuliko anavyonihitaji mimi napata sana wasiwasi.
Binti unamtongoza leo hata papuchi hajatoa anaanza kuulizia mambo ya ndoa je ukiniuzia mbuzi kwenye gunia, onyesha tabia nzuri na ndoa utaiona inakuja automatically.
Mwenye masikio na asikie
Binti akimaliza chuo atahangaika kutafuta ajira lakini akiona ajira haipatikani basi atahangaika kutafuta mwanaume wa kumuoa akiamini ndoa itamtatulia matatizo yake mwisho wa siku anaambulia ahadi feki mwishowe anaishia kuchezewa.
Kawaida yetu sisi wanaume ni kwamba tunapomtongoza mwanamke haimaanishi kwamba nimeshaona unafaa kwa ndoa bali nakua nimekutamani sababu nimeona tu una chura mkubwa au umbo zuri na lengo langu kubwa ni kufanya mapenzi na wewe ila ndoa itakuja baadae baada ya mapenzi kuimarika.
Ndoa ni kitu kizuri na ni jambo la kumpendeza mwenyezi Mungu ila binafsi nikiona mwanamke ana uhitaji sana wa ndoa ya haraka kuliko anavyonihitaji mimi napata sana wasiwasi.
Binti unamtongoza leo hata papuchi hajatoa anaanza kuulizia mambo ya ndoa je ukiniuzia mbuzi kwenye gunia, onyesha tabia nzuri na ndoa utaiona inakuja automatically.
Mwenye masikio na asikie