Kuoa vs kuolewa

Kuoa vs kuolewa

Impimpi

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2019
Posts
468
Reaction score
972
Mwanaume anaoa
Mwanamke anaolewa
Kwa maana nyingine ni kuwa:Mwanaume anatenda na mwanamke anatendwa.
Ukisikia mwanaume anamwambia mwanaume mwenzake kuwa unapenda vya bure utaolewa wewe!! Inaashiria kuwa kuolewa ni kitendo cha aibu katika jamii ya kiafrika ndo maana kwa waingereza hutumia neno 'marry' kwa wote na hii imechangia kiasi kikubwa kwa wanaume WA kiafrika kutokuheshimu taasisi ya ndoa.

Pendekezo:Unapimuuliza mwanamke au mwanaume kama ameoa au kuolewa muulize hivi ; kaka/Dada hivi umeoana?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata kwenye vitabu vya dini lazima mwanamke awe chini! Nd maana yeye anaolewa! Mwanaume akitaka kuoa anajichagulia tu ila mwanamke anasubiri bahat!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanaume anaoa
Mwanamke anaolewa
Kwa maana nyingine ni kuwa:Mwanaume anatenda na mwanamke anatendwa.
Ukisikia mwanaume anamwambia mwanaume mwenzake kuwa unapenda vya bure utaolewa wewe!! Inaashiria kuwa kuolewa ni kitendo cha aibu katika jamii ya kiafrika ndo maana kwa waingereza hutumia neno 'marry' kwa wote na hii imechangia kiasi kikubwa kwa wanaume WA kiafrika kutokuheshimu taasisi ya ndoa.

Pendekezo:Unapimuuliza mwanamke au mwanaume kama ameoa au kuolewa muulize hivi ; kaka/Dada hivi umeoana?


Sent using Jamii Forums mobile app
Hivii!!kwani kila kitu ni lazima tutende au kunena km wazungu?!! Ebu tuache bana, achana na utumwa wa kifikra wa wazungu, utaolewa ohooo!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Being murdered or committing suicide is equal but opposite like action and reaction.
Hii movie yako Director wake nani, Steven Spielberg au Tom Hanks?

°°ᴶᵉᵃˡᵒᵘˢˢʸ ⁱˢ ᵖʳᵒᶜᵉˢˢ ʸᵒᵘ ᵍᵒ ᵗʰʳᵒᵘᵍʰ ᵇᵉᶠᵒʳᵉ ᵇᵉᶜᵒᵐⁱⁿᵍ ᵃ ʷⁱᵗᶜʰ°°
 
I%20Need%20video%20ya%20Nandy%20kufika%20atleast%201M%20today%20coz%20kesho%20inamaliza%20wee...jpeg
 
Back
Top Bottom