Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Wakuu heshima zenu bhana!! [emoji119][emoji119][emoji119] Swala zima lililonipelekea kuandika uzi huu n msaada wenu wa kimawazo jamani kuhusu dem wangu huyu ambae hana a wala be kwenye swala la...
3 Reactions
138 Replies
13K Views
Ukitaka kuoa unaangalia kipi kati ya hivi: 1. Uzuri wa sura na urembo, 2. Rangi ya ngozi kuwa nzuri au 3. Urefu wake au 4. Elimu yake au 5. Tabia yake ya kuwa mbabe kwa wanaume au 6. Jinsi anavyo...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Dem na jamaa waliachana almost kama miaka mi2 iliyopita Kisa ni kwakuwa jamaa hakua na pesa plus pia dem inasemekana alimpata mtu mwingine Baada ya break up jamaa alifanya juhudi kutafta pesa...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Kuna wanaosema kabisa kuwa wewe na mimi sasa basi, kuna wanaopiga matukio, kuna haya ya kutokupokea simu. Shost alifikwa na la kuto kupokelewa simu, aliamini wakionana wataweka mambo sawa...
26 Reactions
199 Replies
16K Views
Habari za muda wakuu.. Niende kwenye mada; Hivi kwanini mwanamke akichepuka inakuwa ngumu kwa mwanaume kusamehe tofauti na mwanaume akifumaniwa akichepuka? [emoji848]
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwa kweli Dada zetu sijui Mnakwama wapi? kwamba hamna elimu ya uzazi, au mnakubali kudanganywa na kubebeshwa mimba ambazo mwisho wa siku mmakuja kutelekezwa na kusabisha watoto kukosa haki zao za...
1 Reactions
46 Replies
4K Views
Mambo vipi wazeeamama na wazeebaba, Kuna dhana imejengeka sana kwa watu wengi haswa wanaopatikana mataifa yaliyopo matak..ni mwa dunia kuwa mwanamke anaependa umaskini na mwenye kuweza kuvumilia...
2 Reactions
105 Replies
5K Views
Kwa heshima na uadilifu najitokeza hapa kumtafuta mwanamke mwenye ugonjwa wa virusi vya maambukizi ya ukimwi kiukweli,ili awe mke wangu wa maisha yote!!Mimi ni mwanaume wa miaka kati ya 47 na...
2 Reactions
21 Replies
7K Views
Wanawake kaa mkijua hakuna mwanaume ambae ni mkorofi kwa mwanamke mtii, mnyenyekevu na anaejua shuka kwa mwanaume, kama yupo mwanaume ambae anaenda against basi huyo sio mzima na anaenda kinyume...
2 Reactions
19 Replies
3K Views
A lot of women put in more effort in making the best meal... Even parents drill ladies to cook right because it is believed only that way will she be able to keep her man... The society also...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali wa saikolojia za binadamu zimebainisha tabia na mitazamo mbalimbali ambayo wanawake wengi wanavyowaza na kuchukulia mambo 1.Wanawake huvutiwa zaidi kimapenzi na...
1 Reactions
39 Replies
11K Views
Wakuu habar za leo. Kwenye Dunia hii kuna watu ndoto zao huwa za kweli. Anacho ota kinatokea really. Nina bro wangu yupo kigamboni jana nilienda site kuweka bikoni nikawa nae. Katika stori za...
3 Reactions
64 Replies
5K Views
Za siku,well.ishu ni hiv,..mdada ni extravagant 1. Akioga bafuni nadhani ni tank nzima ya maji anamaliza. Anaoga masaa 3(chumvi hii)ila anaweza achia bomba inamwaga maji hadi unajiuliza hivi haya...
19 Reactions
156 Replies
12K Views
Natumaini mko powa wadau. Niende kwenye mada!! katika maisha yangu ya ubaharia nimebahatika kupitia mitaa mingi sana CHIBONGE NA FLAT SCREEN Kundi la CHIBONGE huwa linaniungasha walio wengi...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Leo nimefikiria nimeona Tutenge siku tutembee uchi sote kwa ajiri ya kumbu kumbu ya Adam na Eva maana wao si walikuaga uchi kabla ya kula Tunda au mnaonaje? CC Zero IQ
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Za leo wadau, Naomba ushauri juu ya shemeji/Wi-Fi yenu. Nipo kwenye mahusiano na mwanamke mwenye umri kati ya miaka 20-25 ni mwanamke ambaye nimekuwa kwenye mahusiano naye kwa miaka 4, Kitu cha...
2 Reactions
42 Replies
5K Views
Hapa nilipo kwa sasa kuna ugomvi baina ya wanandoa,mwanamke anamgombeza mwaume kwa kuota na kumuongea mwanamke ambaye ni shost yake "Suzi una tako zuri,mpaka natamani nilishike hivi" Hiyo...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Msaada wa hali na mali unahitajika kuna mama mmoja anamtafuta kaka yake ambaye ni mdogo wake aitwae THOMAS MWAKITALU huyo mdogo wake alizaliwa mwaka 1991 katika wilaya Serengeti kilipokuwa kituo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
kuna dem nna kama week 3 namfkuzia ,uwa namwandkia sms muda mwngne hajibu muda mwngne ananipa hope ananiambia nivute subira . nkasema poa wacha niendelee kuvuta subira na hewa.asa leo Asubuhi...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Nimejaribu kwa Kina kufuatilia Visa mbalimbali hasa vya Mauwaji ya Kikatili ambavyo huwa vinawatokea Wanawake sehemu mbalimbali hapa nchini kutoka kwa ama Waume zao au Wapenzi wao na Kugundua ya...
7 Reactions
265 Replies
17K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…