Ijue vizuri Akili ya wanawake hapa

Ijue vizuri Akili ya wanawake hapa

Last KING Ontuzu

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
731
Reaction score
1,198
Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali wa saikolojia za binadamu zimebainisha tabia na mitazamo mbalimbali ambayo wanawake wengi wanavyowaza na kuchukulia mambo

1.Wanawake huvutiwa zaidi kimapenzi na wanaume mwenye sauti nzito ya bass.

2.Wanawake huhangaika zaidi na wanaume ambao hawawapi antention ya kutosha kuliko wale wanaowapa attention.

3.Wanawake wenye IQ kubwa hubaki single muda mrefu zaidi wakihofia kuingia kwenye uhusiano na mtu asiye sahihi.

4.kwa wastani Wanawake hawawezi kutunza siri zaidi ya masaa 47 na dakika 15 kwa mujibu wa Tafiti

5.Wanaume hu socialize kwa kutoleana lugha ngumu na matusi lakini huwa hawamaanishi
Wanawake hu socialize kwa kusifiana na kupambana kwa majina mazuri lakini huwa hawamaanishi.

6. Wanawake 3 kati ya 4 wanapoangalia fashion ndani ya dk tano hupatwa na msononeko wa ajabu na stress nyingi.[emoji38]

7.Asilimia 70 ya wanawake hutumia ukimya kama njia ya kuonesha maumivu.

8.Wanawake huamini kuwa mwanaume anavutia sana endapo atamuona mwanamke mwenzie anajichekesha kwa mwanaume huyo.[emoji23][emoji23][emoji23]

9.Endapo mwanamke akiona mwanaume mwenye mvuto huongea kwa sauti nyembamba zaidi

10. Inaaminika kuwa mwanamke akivaa nguo zenye rangi nyekundu huongeza mvuto na nafasi ya kutongozwa zaidi kuliko asipovaa rangi hiyo

Niishie hapo ongezeni na nyie ..
 
Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali wa saikolojia za binadamu zimebainisha tabia na mitazamo mbalimbali ambayo wanawake wengi wanavyowaza na kuchukulia mambo

1.Wanawake huvutiwa zaidi kimapenzi na wanaume mwenye sauti nzito ya bass.

2.Wanawake huhangaika zaidi na wanaume ambao hawawapi antention ya kutosha kuliko wale wanaowapa attention.

3.Wanawake wenye IQ kubwa hubaki single muda mrefu zaidi wakihofia kuingia kwenye uhusiano na mtu asiye sahihi.

4.kwa wastani Wanawake hawawezi kutunza siri zaidi ya masaa 47 na dakika 15 kwa mujibu wa Tafiti

5.Wanaume hu socialize kwa kutoleana lugha ngumu na matusi lakini huwa hawamaanishi
Wanawake hu socialize kwa kusifiana na kupambana kwa majina mazuri lakini huwa hawamaanishi.

6. Wanawake 3 kati ya 4 wanapoangalia fashion ndani ya dk tano hupatwa na msononeko wa ajabu na stress nyingi.[emoji38]

7.Asilimia 70 ya wanawake hutumia ukimya kama njia ya kuonesha maumivu.

8.Wanawake huamini kuwa mwanaume anavutia sana endapo atamuona mwanamke mwenzie anajichekesha kwa mwanaume huyo.[emoji23][emoji23][emoji23]

9.Endapo mwanamke akiona mwanaume mwenye mvuto huongea kwa sauti nyembamba zaidi

10. Inaaminika kuwa mwanamke akivaa nguo zenye rangi nyekundu huongeza mvuto na nafasi ya kutongozwa zaidi kuliko asipovaa rangi hiyo

Niishie hapo ongezeni na nyie ..
Hiyo namba nne, ukimwambia hiyo siri mwambie USIMWAMBIE MTU, NIMEKWAMBIA WEWE TU...
 
Katika watu ambao hawawapi attention wanawake MI nipo aisee

Basically Italian wananipenda Sana [emoji846][emoji445][emoji897]
 
Wanawake ndio mama zetu, usijaribu kucheza na hisia ata za barmaid lana yake ni kubwa sana
 
Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali wa saikolojia za binadamu zimebainisha tabia na mitazamo mbalimbali ambayo wanawake wengi wanavyowaza na kuchukulia mambo

1.Wanawake huvutiwa zaidi kimapenzi na wanaume mwenye sauti nzito ya bass.

2.Wanawake huhangaika zaidi na wanaume ambao hawawapi antention ya kutosha kuliko wale wanaowapa attention.

3.Wanawake wenye IQ kubwa hubaki single muda mrefu zaidi wakihofia kuingia kwenye uhusiano na mtu asiye sahihi.

4.kwa wastani Wanawake hawawezi kutunza siri zaidi ya masaa 47 na dakika 15 kwa mujibu wa Tafiti

5.Wanaume hu socialize kwa kutoleana lugha ngumu na matusi lakini huwa hawamaanishi
Wanawake hu socialize kwa kusifiana na kupambana kwa majina mazuri lakini huwa hawamaanishi.

6. Wanawake 3 kati ya 4 wanapoangalia fashion ndani ya dk tano hupatwa na msononeko wa ajabu na stress nyingi.[emoji38]

7.Asilimia 70 ya wanawake hutumia ukimya kama njia ya kuonesha maumivu.

8.Wanawake huamini kuwa mwanaume anavutia sana endapo atamuona mwanamke mwenzie anajichekesha kwa mwanaume huyo.[emoji23][emoji23][emoji23]

9.Endapo mwanamke akiona mwanaume mwenye mvuto huongea kwa sauti nyembamba zaidi

10. Inaaminika kuwa mwanamke akivaa nguo zenye rangi nyekundu huongeza mvuto na nafasi ya kutongozwa zaidi kuliko asipovaa rangi hiyo

Niishie hapo ongezeni na nyie ..
Kwahiyo hapo kwenye namba 4 unataka kusemaje kwa neno moja tu...?
 
Nimekubali namba 1 tu mengine sijui
 
Back
Top Bottom