Mnadeal vipi na mwanamke mfujaji?

Mnadeal vipi na mwanamke mfujaji?

Napoleone

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2012
Posts
10,085
Reaction score
16,063
Za siku,well.ishu ni hiv,..mdada ni extravagant
1. Akioga bafuni nadhani ni tank nzima ya maji anamaliza. Anaoga masaa 3(chumvi hii)ila anaweza achia bomba inamwaga maji hadi unajiuliza hivi haya maji si nalipia lakini?

2. Akinyoosha au akifua unaweza ona kawasha pasi inakaa hata nusu saa ndo anakumbuka kuwa kumbe anapasi. Hivi mimi si nalipia luku? Anaweza fua masaa mashine inazunguka tu anarudiaa eti anataka nguo ing’ae

3. Anamaliza sabuni akiosha vyombo

4. Akikaanga kuku sasa au samaki, yaani kama ni kuku wawil kwenye fridge atakaanga na kula wote. Yaani akija J’mosi hadi J’pili kuku wote kwenye friji wameisha

Kilichopelekea kuandika uzi ni kwamba nimekuta kawasha gesi inatoka tu bila moto halafu hata hajajua. Nikawa nasikia tu “xiiiii” na harufu. Kuuliza hiyo si gas inatoka? Eti yuko heee alitaka chemsha maji..

Kiukwel nmekereka kama nimwambie aondoke muda huu. Hata hamu ya kugegeda imetoka
 
Hyo anafaa kwa matumiz ya mda ila si ya kudumu ogopa mtu ambaye hajal na hilo pia huwa n factor mojawapo ya kumpata wife material,hlohlo suala niliwah kumwambia dada mmoja kwamba lingemkost ila hakulitilia maanan navoongea sasa mme amemchoka japo mwanzon ulikuwa humwambii chochote juu ya huyu dada,
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] Kazi unayo huyo ni kilaza kiwango cha stigiler gorji
Za siku,well.ishu ni hiv,..mdada ni extravagant
1.akioga bafuni nadhan ni tank nzima ya maj anamaliza.anaoga masaa 3(chumvi hii)..ila anaweza achia bomba inamwaga maj had unajiuliza,hiv haya maj si nalipia lakin
2.akinyoosha au akifua unaweza ona kawasha pasi inakaa hata nus saa ndo anakumbuka kua kumbe anapasi.hiv mi si nalipia luku.anaweza fua masaa mashne inazunguka tuu anarudiaa et anataka nguo ingae
3.dem anamaliza sabun huyu dah akiosha vyombo
4.akikaanga kuku sasa au samak,yan kama ni kuku wawil kwenye fridge atakaanga na kula wote,yaan akija jmos had jpil kuku wote kwenye fridge wameisha

Kilichopelekea kuandika uzi,ni kwamba nmekuta kawasha gas ,inatoka tuu bila moto.af hata hajajuaa..naskia tuu xiiiii.na haruf nauliza hyo si gas inatoka et yuko heee,et alitaka hemsha maji..

Kiukwel nmekereka kama nimwambie aondoke mda huu...hata ham ya kugegeda imetoka

Uzi tayar
 
Huyo ni mzembe wa kupindukia...inaonesha kwao yuko peke yake, miaka yote amekaa na hausigeli na ni type ya wale watoto ambao hata akifanya madudu mzazi hamfinyi wala kumfokea. Inabidi wewe ndio uchukue jukumu la kumfundisha na kumuelekeza yote aliyotakiwa kujua tangu akiwa na miaka 10. Kila la heri mkuu
 
Unampiga chini. Unatafuta mwingine.

Hiyo ina apply kwa nyie ambao hamjaoa.

Nb hapo kwenye Kuku umetupatia taarifa kwamba wewe ni mchoyo.
Mkuu sidhani kama ni uchoyo, kupangilia budget muhimu. Lakini alitakiwa pia amwambie mwenzie kwamba hao kuku tumia mmoja huwenda mwenzie huwa anafikiri wameandaliwa kwaajili yake
 
Za siku,well.ishu ni hiv,..mdada ni extravagant
1.akioga bafuni nadhan ni tank nzima ya maj anamaliza.anaoga masaa 3(chumvi hii)..ila anaweza achia bomba inamwaga maj had unajiuliza,hiv haya maj si nalipia lakin
2.akinyoosha au akifua unaweza ona kawasha pasi inakaa hata nus saa ndo anakumbuka kua kumbe anapasi.hiv mi si nalipia luku.anaweza fua masaa mashne inazunguka tuu anarudiaa et anataka nguo ingae
3.dem anamaliza sabun huyu dah akiosha vyombo
4.akikaanga kuku sasa au samak,yan kama ni kuku wawil kwenye fridge atakaanga na kula wote,yaan akija jmos had jpil kuku wote kwenye fridge wameisha

Kilichopelekea kuandika uzi,ni kwamba nmekuta kawasha gas ,inatoka tuu bila moto.af hata hajajuaa..naskia tuu xiiiii.na haruf nauliza hyo si gas inatoka et yuko heee,et alitaka hemsha maji..

Kiukwel nmekereka kama nimwambie aondoke mda huu...hata ham ya kugegeda imetoka
Tutafute hela mzeebaba
 
Huyo ni mzembe wa kupindukia...inaonesha kwao yuko peke yake, miaka yote amekaa na hausigeli na ni type ya wale watoto ambao hata akifanya madudu mzazi hamfinyi wala kumfokea. Inabidi wewe ndio uchukue jukumu la kumfundisha na kumuelekeza yote aliyotakiwa kujua tangu akiwa na miaka 10. Kila la heri mkuu
Hapana,yaan kabsa nikae nimfundishe,kwakua nampenda sana au?huyu imekula kwake
 
Hyo anafaa kwa matumiz ya mda ila si ya kudumu ogopa mtu ambaye hajal na hilo pia huwa n factor mojawapo ya kumpata wife material,hlohlo suala niliwah kumwambia dada mmoja kwamba lingemkost ila hakulitilia maanan navoongea sasa mme amemchoka japo mwanzon ulikuwa humwambii chochote juu ya huyu dada,
Kabisa mkuu,hii changamoto imekua kubwa
 
Back
Top Bottom