cutelove
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 3,311
- 7,494
Hapa nilipo kwa sasa kuna ugomvi baina ya wanandoa,mwanamke anamgombeza mwaume kwa kuota na kumuongea mwanamke ambaye ni shost yake
"Suzi una tako zuri,mpaka natamani nilishike hivi"
Hiyo sentensi iliyotamkwa na mwanaume akiwa usingizini imeleta ugomvi mkubwa mpaka kwa shost wa mwanamke,mwanamke anaanza kumtuhumu huyo rafiki yake
Umewahi kuwa na mtu wa hivyo kwenye mahusiano yenu ambaye anaota kwa kuongea aliyokuwa anayafanya mchana,je ilikuwaje,na vipi ukiwa na mtu wa hivyo?
Usiku amelala anaanza kuzungumza aliyokuwa anayafanya mchana,huyu mtu ana siri kweli,anaweza akavujisha siri,na mtu wa hivyo akijijua anatakiwa mchana awe anatenda na kuzungumza mambo mema,la sivyo ugomvi hutaisha
"Suzi una tako zuri,mpaka natamani nilishike hivi"
Hiyo sentensi iliyotamkwa na mwanaume akiwa usingizini imeleta ugomvi mkubwa mpaka kwa shost wa mwanamke,mwanamke anaanza kumtuhumu huyo rafiki yake
Umewahi kuwa na mtu wa hivyo kwenye mahusiano yenu ambaye anaota kwa kuongea aliyokuwa anayafanya mchana,je ilikuwaje,na vipi ukiwa na mtu wa hivyo?
Usiku amelala anaanza kuzungumza aliyokuwa anayafanya mchana,huyu mtu ana siri kweli,anaweza akavujisha siri,na mtu wa hivyo akijijua anatakiwa mchana awe anatenda na kuzungumza mambo mema,la sivyo ugomvi hutaisha