Huyu mwanamke ana nia Gani?

Huyu mwanamke ana nia Gani?

BradFord93

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2017
Posts
921
Reaction score
2,244
Dem na jamaa waliachana almost kama miaka mi2 iliyopita
Kisa ni kwakuwa jamaa hakua na pesa plus pia dem inasemekana alimpata mtu mwingine

Baada ya break up jamaa alifanya juhudi kutafta pesa
Mungu akamsaidia mambo ykawa yanamuendea vizuri
Hakufanikiwa sana lakini angalau kesho yake alikuw anaiona

Tatizo sasa ni kuwa yule mwanamke anataka warudiane
Anambembeleza saana jamaa
Anadai pia kua kipindi walipoachana alianzsha mahusiano na mtu mwngne lkn alikataa ktambulishwa kwa ajili ya jamaa

Swali langu:..
1.kama ni wewe ni wew ungefanyaje?
2.huyu mwanamk ana lengo gani kwa jamaa??
3.je kuna haja kweli ya kurudiana na mtu km huyu??
 
inabidi ajue kwamba kilichomtenganisha ni pesa, na kilichomrudisha ni pesa. Siku akifirisika , mpenzi pia atapotea
 
Wanaume tunapungua kwa kasi.
Seriously, Hii ni inshu ya kuja nayo GT?
 
Mshkaji anashindwa kufanya maamuzi kwa swala kama hilo. Ajiulize.. hapa tu anashindwa kuwa na msimamo.. next time ataweza kweli?

The guy is weak. Na huyo msanamke anajua
Hapa ndipo vijana mnapo feli kabisa....
Yaani hata jambo dogo kama hili mnakuja kuanzisha Uzi na eti mnaomba ushauri kabisa...!!??
 
Hilo dogo unashindwa kupata ufumbuzi, kubwa utaliweza?
 
Tatzo watu huhis kila mtu mtazamo n maamuzi tunafanana....nlshampa ushauri wangu....lkn nltaka kuckia mtazamo wenu...!!
 
Hapa ndipo vijana mnapo feli kabisa....
Yaani hata jambo dogo kama hili mnakuja kuanzisha Uzi na eti mnaomba ushauri kabisa...!!??
Kuna ushauri n mtazamo....elewa mkuu usikurupuke
 
Back
Top Bottom