Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,284
- 39,511
Wanawake kaa mkijua hakuna mwanaume ambae ni mkorofi kwa mwanamke mtii, mnyenyekevu na anaejua shuka kwa mwanaume, kama yupo mwanaume ambae anaenda against basi huyo sio mzima na anaenda kinyume na katiba yetu.
Sisi wanaume tunatambua hili tutachepuka tutafanya ujinga wote ila kwako tutarud tu na utaheshimika sana, ila kama ww ni mjuaji, kiburi, dharau UTAPATA TABU SANA na kuolewa sahau.
NB: wanawake wa dizain hii sasahiv hawapo na kama utampata aisee mlinde huyoo asiende.
Sisi wanaume tunatambua hili tutachepuka tutafanya ujinga wote ila kwako tutarud tu na utaheshimika sana, ila kama ww ni mjuaji, kiburi, dharau UTAPATA TABU SANA na kuolewa sahau.
NB: wanawake wa dizain hii sasahiv hawapo na kama utampata aisee mlinde huyoo asiende.