Saoka JF-Expert Member Oct 23, 2018 404 563 Jul 30, 2019 #1 Habari za muda wakuu.. Niende kwenye mada; Hivi kwanini mwanamke akichepuka inakuwa ngumu kwa mwanaume kusamehe tofauti na mwanaume akifumaniwa akichepuka?
Habari za muda wakuu.. Niende kwenye mada; Hivi kwanini mwanamke akichepuka inakuwa ngumu kwa mwanaume kusamehe tofauti na mwanaume akifumaniwa akichepuka?
mzee wa kasumba JF-Expert Member Nov 26, 2018 1,432 2,892 Jul 30, 2019 #2 Hiyo haijakaa mkuu... Imesimamia kucha
google helper JF-Expert Member Jun 11, 2013 9,629 13,688 Jul 30, 2019 #3 imekaa ki uchungu uchungu zaidi na kiwivu wivu tu.
Ringers JF-Expert Member Mar 9, 2019 281 339 Jul 30, 2019 #4 Kwa sababu wanaume katika mahusiano ndo tunabeba kila kitu kwa hiyo mwanamke akichepuka ni dharau kubwa sana.
Kwa sababu wanaume katika mahusiano ndo tunabeba kila kitu kwa hiyo mwanamke akichepuka ni dharau kubwa sana.