Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Ni sawa kipind hichi cha maisha wanaume nao wana ile tabia ya kutaka mwanamke ambaye kimsingi nae ni mchakarikaji ili msaidie ilo ni sawa, ila mambo kama yamebadilika wanaume wamekua wavivu...
3 Reactions
32 Replies
2K Views
​​Kama kuna mtaalamu wa maswala ya mapenzi na ndoa naomba anisaidie. Je nini siri ya mafanikio katika ndoa wakati mke hupenda pia wanawake?. Kwa ufupi: Nimekuwa katika mahusiano...
0 Reactions
108 Replies
14K Views
Sina maneno mengi.video inaongea naongea.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwani kuna ubaya gani kufanya kitu upendacho baada ya kitimiza kazi uliyopewa na boss wako kwa 100%.. Kuview adults material kazini ichukuliwe kama hobby tu ya mtu kama vile kucheza games.
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Yaani barabarani wanaume wanadrive slow motion hawataki kufika majumbani mwao wanaongea tu na michepuko Tutawagonga sisi mfyuuu Ngoja niweke picha
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Ni hivi, ni juzi nipo kijiwe flani nalewa na washkaji, ghafla nikampenda demu kumbe ndo bosi wa hiyo bar, ikabidi anipe namba kwamba tutaongea kesho, niende nikalale. Kumekucha nikamcheki nikaanza...
11 Reactions
224 Replies
18K Views
Hey wazee kama kichwa cha habari kinavyosema, Nina hamu kweli ya Kutanua na totozi bomba wikiendi hii ila mwezi huu Mfuko wangu Umetoboka, Mpenda totoz mwenzangu anipe Sapot, Maisha ni kusaidiana...
3 Reactions
48 Replies
5K Views
Wakati upo darasa la kwanza ukifanya vizuri wanakuambia oooh subiri darasa la tatu ndio hesabu zinakuwa ngumu, ukifika darasa la tatu unaambiwa darasa nne kuna mtihani wa taifa kuvuka ni issue...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Classical Women wako poa sana, Ila wengi ni wafia dini na hakawii kukubania papuchi ila akaenda kumpa Baba Mchungaji wake. Pia wanapenda sana kushinda Church. Pesa zao nyingi huwa zinaishia...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari kinavyosema nahitaji mwanamke aje kuwa mke wangu wa maisha mwenye hali kama yangu. *Sifa zangu ni.. 1. Mwajiriwa na nimejiajiri ili kuongeza kujikimu zaidi. 2. Mrefu wa...
1 Reactions
47 Replies
4K Views
Eti wakuu kuna jambo linanitatiza sana, hivi hawa wazee wetu waliwezaje kujenga hizo nyumba, Maana mimi kila nikipata pesa Naishia kukutana na watoto wakali. Cc Zero IQ
8 Reactions
13 Replies
1K Views
Aisee.. Hili ni jambo gumu. Nilkua na mpenzi wangu tuliodumu miaka 5, sasa amebadilka bila sababu, mawasiliano yamekua adimu kama kaka kuona. Anazima simu hata wiki mbili bila sababu maalum...
4 Reactions
38 Replies
4K Views
Acheni kutupa Sex, Kabla hatujawaoa. Sisi hatupendi hii tabia ila inatubidi tu. Kwa niaba ya @bmp
0 Reactions
4 Replies
2K Views
hellow wana MMU! salam! asanteni kwa michango yenu ambayo kiukweli kuna zinazofunza kufurahisha na kutoa changamoto! . . kuna hili swala kidogo linanitatiza "mfundishe / mrekebishe" mpenzi wako...
1 Reactions
13 Replies
924 Views
Nawasalimuu wakuu.. Desturi ya kuwasubiri wana ndoa nje ya mlango kufanywa na mtu anayeitwa kungwi. Na bi harusi huwekewa kitambaa cheupe anapoingiliana na mumewe kwa mara ya kwanza ili matone...
6 Reactions
64 Replies
8K Views
Wasalaam, Ni matumaini yangu wote hamjambo na Mungu apewe sifa na utukufu maana vyote ni vyake. Kuna kipindi nilileta uzi hapa kuomba ushauri, wengi walinishauri vizuri sana na kwa asilimia mia...
8 Reactions
93 Replies
8K Views
Amani kwenu wana jamvi na wapitaji. Unakuta una mke ambaye hana hofu ya Mungu, kutwa nzima unashinda na presha eti unachitiwa, kweli? Kama hamuogopi Mungu atakuogopa wewe? Mwingine unakuta...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Naona ule uzi wa kwanza umefutwa, basi ngoja niondoe habari za mizigo ibaki Happy it's already Weekend... Natumai hii haina madhara kama ile iliyofutwa jana... Yaani hii excitement sijui...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mapenzi bila pesa ni kazi bure...tujaribu kutunza zile chenji chenji zinazobaki ili mwisho wa wiki tuwe tunatoka mara moja moja.Tutumie njia hii kutunza chenji zetu.....
0 Reactions
12 Replies
2K Views
mseee wangu, mimi ndimi. eeebana juzi kati hapa nilikua na shemeji yenu mmoja hivi, nikaona nimpeleke kwenye nyumba ya mwanangu mmoja hivi maana kwangu kulikua na wageni, na mimi sio mpenzi wa...
0 Reactions
25 Replies
2K Views
Back
Top Bottom