Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

nimeahidi nywele za 50k , na hii msimu ni low season kwangu. Na APA Na mawazo kinouma. We mdada ......
1 Reactions
8 Replies
925 Views
Habari ,natafuta mke wakuoa awe na sifa zifuatazo. 1: Awe na elimu Kwanzia kidato cha 4 na kuendelea, 2: Awe anajitambua 3: Awe anaweza kuongea kiingereza 4: Awe anajua kupika na msafi 5...
2 Reactions
39 Replies
4K Views
Nitaendelea kuyaweka wazi baadhi ya Mambo ambayo yanakera sana kwa wanawake ambao ni hopeless. Mimi nitasema ili wajifunze. Najua kuna watakaokwazika but later on they will thank me. Kama unataka...
13 Reactions
266 Replies
21K Views
Huyu bi mkubwa Ana umri wa miaka 42, Nilianza kujuana nae hapa kiwandani kwangu kwa sababu alikuwa anakuja kununua kiepe kila mara, Kiukweli alikuwa ni mteja wangu wa kudumu kufikia atua ya kuwa...
3 Reactions
35 Replies
5K Views
Habar zenu wakuu, nimaimani wote mko na afya njema, wakuu kila mwanamke ninayekutananae mitaani na kumtongoza ni barmade hii nagundua baada ya siku tatu au nne baada ya kunikubalia, kuna wengine...
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Habari za jumapili ndugu zangu. Niende moja kwa moja kwenye mada,Ndugu zangu nahitaji msichana yeyote atakaye kuwa tiyari kunizalia mtoto kwa mkataba kuwa anipe huyo mtoto baada ya kufikisha miaka...
3 Reactions
136 Replies
8K Views
Vichekesho kwa afya ya akili na mwili:-
0 Reactions
0 Replies
793 Views
Wanaume mpo?!!! Huu uzi kwa ajil yetu sisi. Zama zmebadilika sasa. Ni marufuku kumpa pesa mwanamke ambaye huna malengo naye hayo ni matumizi mabaya ya pesa tena kwa kiwango cha lami ni bora hzo...
19 Reactions
209 Replies
17K Views
JE UNA MTOTO MWENYE KUPENDA KUNYONYA KIDOLE? • Kunyonya kidole ni sehemu ya mtoto kujitafutia furaha na hamasa, kujibembeleza alale, kujipooza nafsi anapopitia kashkash • Hali hii haina madhara...
6 Reactions
48 Replies
6K Views
Hivi ulishawahi kumuuliza mwenza wako au wewe ungependa nani awe role model wa mwenza wako? Mimi wife kaniambia angependa niwe kama Denzel washington yaani hapa nina mawazo na mimi namtafutia lake....
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kama Mwanaume utampenda Mwanamke Kwa Kigezo Cha Tabia basi Utaendelea Kumpenda Mwanamke Huyo Huyo Ila Kama Utampenda Kwa Kigezo cha Sura,Rangi ,shape,Makalio na Mengineo Basi Hata Upewe...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
pongezi kwenu nyie ni mahandsome balaa
0 Reactions
1 Replies
968 Views
Wakuu heshima zenu bhana!! [emoji119][emoji119][emoji119] Swala zima lililonipelekea kuandika uzi huu n msaada wenu wa kimawazo jamani kuhusu dem wangu huyu ambae hana a wala be kwenye swala la...
3 Reactions
138 Replies
13K Views
Ukitaka kuoa unaangalia kipi kati ya hivi: 1. Uzuri wa sura na urembo, 2. Rangi ya ngozi kuwa nzuri au 3. Urefu wake au 4. Elimu yake au 5. Tabia yake ya kuwa mbabe kwa wanaume au 6. Jinsi anavyo...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Dem na jamaa waliachana almost kama miaka mi2 iliyopita Kisa ni kwakuwa jamaa hakua na pesa plus pia dem inasemekana alimpata mtu mwingine Baada ya break up jamaa alifanya juhudi kutafta pesa...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Kuna wanaosema kabisa kuwa wewe na mimi sasa basi, kuna wanaopiga matukio, kuna haya ya kutokupokea simu. Shost alifikwa na la kuto kupokelewa simu, aliamini wakionana wataweka mambo sawa...
26 Reactions
199 Replies
16K Views
Habari za muda wakuu.. Niende kwenye mada; Hivi kwanini mwanamke akichepuka inakuwa ngumu kwa mwanaume kusamehe tofauti na mwanaume akifumaniwa akichepuka? [emoji848]
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwa kweli Dada zetu sijui Mnakwama wapi? kwamba hamna elimu ya uzazi, au mnakubali kudanganywa na kubebeshwa mimba ambazo mwisho wa siku mmakuja kutelekezwa na kusabisha watoto kukosa haki zao za...
1 Reactions
46 Replies
4K Views
Mambo vipi wazeeamama na wazeebaba, Kuna dhana imejengeka sana kwa watu wengi haswa wanaopatikana mataifa yaliyopo matak..ni mwa dunia kuwa mwanamke anaependa umaskini na mwenye kuweza kuvumilia...
2 Reactions
105 Replies
5K Views
Kwa heshima na uadilifu najitokeza hapa kumtafuta mwanamke mwenye ugonjwa wa virusi vya maambukizi ya ukimwi kiukweli,ili awe mke wangu wa maisha yote!!Mimi ni mwanaume wa miaka kati ya 47 na...
2 Reactions
21 Replies
7K Views
Back
Top Bottom