Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Ukiwa unamtafuta mtu, say private message au ukifungua tu uzi na kukutana na ujumbe wa 'NO PERMISSION TO ACCESS' hua ina maaana gani, AU HUA NI UZI WA WATEULE WACHACHE?
0 Reactions
3 Replies
941 Views
Sisi wanaume Kama tunataka Wanawake waache kutuomba kile ambacho Baba zao wameshindwa kuwapa. Na sisi tuache kabisa kuwaomba kile ambacho mama zetu hawawezi kutupa. Au sio.
1 Reactions
4 Replies
853 Views
Unakutana na mdada....unajenga mazoea anakupa mawasiliano. Unajaribu kuwasiliana naye unaona kama hakupi muda kivile. Unajisemea aah labda hanipendi. Kama mnavyojua moyo unamilango mingi...mmoja...
19 Reactions
192 Replies
17K Views
Poleni na harakati za Ujenzi wa Familia na Taifa Wananzengo...Nawasalimu nyote. Kama Mada inavyosomeka hapo, nimekuwa najiuliza swali hili. Kuna uhusiano gani kati ya Tohara na Nuksi? Ni dhana...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu; Ama hakika Mungu anajua kuumba... Naogopa kusema kuna watu Amewapendelea lakini nisema tu kuna aliowapa zaidi kuliko wengine. Nilikuja huku kijijini lushoto ndani ndani kumsindikiza Rafiki...
2 Reactions
35 Replies
4K Views
Kila mmoja anatamani kwenda mbinguni,lakini hakuna anayependa kufa.Wakuu kuna njia gani nyingine ya kwenda mbinguni bila kufa?
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Vitu hivi akivifanya mpenzi wako wa kike jua ni wife material:- Anapokuja kukutembelea anakuwa amevaa nguo za heshima Akija kwako anaweza kukuletea vitu vya kupika,vya kutafuna tafuna n.k Akija...
2 Reactions
90 Replies
9K Views
nimeahidi nywele za 50k , na hii msimu ni low season kwangu. Na APA Na mawazo kinouma. We mdada ......
1 Reactions
8 Replies
925 Views
Habari ,natafuta mke wakuoa awe na sifa zifuatazo. 1: Awe na elimu Kwanzia kidato cha 4 na kuendelea, 2: Awe anajitambua 3: Awe anaweza kuongea kiingereza 4: Awe anajua kupika na msafi 5...
2 Reactions
39 Replies
4K Views
Nitaendelea kuyaweka wazi baadhi ya Mambo ambayo yanakera sana kwa wanawake ambao ni hopeless. Mimi nitasema ili wajifunze. Najua kuna watakaokwazika but later on they will thank me. Kama unataka...
13 Reactions
266 Replies
21K Views
Huyu bi mkubwa Ana umri wa miaka 42, Nilianza kujuana nae hapa kiwandani kwangu kwa sababu alikuwa anakuja kununua kiepe kila mara, Kiukweli alikuwa ni mteja wangu wa kudumu kufikia atua ya kuwa...
3 Reactions
35 Replies
5K Views
Habar zenu wakuu, nimaimani wote mko na afya njema, wakuu kila mwanamke ninayekutananae mitaani na kumtongoza ni barmade hii nagundua baada ya siku tatu au nne baada ya kunikubalia, kuna wengine...
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Habari za jumapili ndugu zangu. Niende moja kwa moja kwenye mada,Ndugu zangu nahitaji msichana yeyote atakaye kuwa tiyari kunizalia mtoto kwa mkataba kuwa anipe huyo mtoto baada ya kufikisha miaka...
3 Reactions
136 Replies
8K Views
Vichekesho kwa afya ya akili na mwili:-
0 Reactions
0 Replies
793 Views
Wanaume mpo?!!! Huu uzi kwa ajil yetu sisi. Zama zmebadilika sasa. Ni marufuku kumpa pesa mwanamke ambaye huna malengo naye hayo ni matumizi mabaya ya pesa tena kwa kiwango cha lami ni bora hzo...
19 Reactions
209 Replies
17K Views
JE UNA MTOTO MWENYE KUPENDA KUNYONYA KIDOLE? • Kunyonya kidole ni sehemu ya mtoto kujitafutia furaha na hamasa, kujibembeleza alale, kujipooza nafsi anapopitia kashkash • Hali hii haina madhara...
6 Reactions
48 Replies
6K Views
Hivi ulishawahi kumuuliza mwenza wako au wewe ungependa nani awe role model wa mwenza wako? Mimi wife kaniambia angependa niwe kama Denzel washington yaani hapa nina mawazo na mimi namtafutia lake....
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kama Mwanaume utampenda Mwanamke Kwa Kigezo Cha Tabia basi Utaendelea Kumpenda Mwanamke Huyo Huyo Ila Kama Utampenda Kwa Kigezo cha Sura,Rangi ,shape,Makalio na Mengineo Basi Hata Upewe...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
pongezi kwenu nyie ni mahandsome balaa
0 Reactions
1 Replies
968 Views
Wakuu heshima zenu bhana!! [emoji119][emoji119][emoji119] Swala zima lililonipelekea kuandika uzi huu n msaada wenu wa kimawazo jamani kuhusu dem wangu huyu ambae hana a wala be kwenye swala la...
3 Reactions
138 Replies
13K Views
Back
Top Bottom