INAUMA SANA

zombieboy

Member
Jul 1, 2019
54
73
kuna dem nna kama week 3 namfkuzia ,uwa namwandkia sms muda mwngne hajibu muda mwngne ananipa hope ananiambia nivute subira . nkasema poa wacha niendelee kuvuta subira na hewa.asa leo Asubuhi nmeamka nakutana na sms iliyonkata knoma.aliandka "mambo,G kuna ktu ntaka nkwambie asa ww unasema unanipenda na huna ata ela ya kunipeleka lodge ,nakushauri tafuta ela watajileta wazur zaid yangu mm"


zombieboy cjui nijipige kiberiti au ntafute zombie wa kike.
 
Ukijipiga kiberiti kuna mawili
-Kuungua ukaokolewa ukapona na kubaki na majeraha
-Kufa kabisa
Asa kwanini uchukue risk ya kufa ama kupona akati mazombie ya kike yamezagaa?

Binafsi nakushauri utafute zombie wa kike
kujipiga kiberiti cyo kujichoma moto hahaaa misemo ishabadilika vijana tunaharbu maana ya maneno kila kukicha
 
  • Thanks
Reactions: Ccc
kuna dem nna kama week 3 namfkuzia ,uwa namwandkia sms muda mwngne hajibu muda mwngne ananipa hope ananiambia nivute subira . nkasema poa wacha niendelee kuvuta subira na hewa.asa leo Asubuhi nmeamka nakutana na sms iliyonkata knoma.aliandka "mambo,G kuna ktu ntaka nkwambie asa ww unasema unanipenda na huna ata ela ya kunipeleka lodge ,nakushauri tafuta ela watajileta wazur zaid yangu mm"


zombieboy cjui nijipige kiberiti au ntafute zombie wa kike.
Pole sana dogo, sasa kama huna hata pesa ya Lodge, huyu shem ungeenda kumgegeda kwenye mapagala (majumba mabovu) au kichakani?
 
Back
Top Bottom