Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Aiseee,salaaaaaam, Nowadays, hii mambo haina ugumu kabisa,kuoa no kihere here chako tu,au kua na girlfriend permanent is at your own risk. Wewe pendezesha,gharamia,nunulia kasmartphone,weka vocha...
1 Reactions
20 Replies
5K Views
kuna dem bana tulikua na mahusiano kama miez 5 ivi.asa sijui alipataga mhun wa kumpa hizi chips chips nlishangaa ghafla ananiblock sehem zote tulizokuwa tukiwasiliana,nkaona isiwe kes nkaomba cm...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Kama nimewahi kugusia katika uzi ulopita kuwa nimejikuta nikimtongoza kwa mwendo kasi mwanamke ambaye kumbe nilikuwa na mahusiano na best yake. Sasa bwana kumbe yule bishost alimwambia rafiki yake...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Nina Mjumbe wangu wa Nyumba Kumi huwa anapenda mno Kufanya Mizaha inayokaribia na Ukweli na Mke wa aliyekuwa Mjumbe wetu wa Nyumba Kumi na hupenda Kufanya Mizaha yake hiyo pale tu akiwa...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Udictecta Wa Jf Uzi Wangu Umepigwa So Sad[emoji36][emoji36] Hivi hakuna forum nyingine tena ambayo unaweza kuwa alternative ya Jf hapa Tz : Jf imefika muda nahisi anahitaji mpinzani Moderate...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wana jf.. Hiv ni kweli mtu akishaoa/kuoelewa baadae wakapata mtoto then ndoa ikavunjika je ikitokea mmoja akaoa au kuokewa tena au akapata mahusiano mapya je atakuwa na mapenzi ya dhati kam...
0 Reactions
39 Replies
7K Views
wakuu kama kichwa cha habari kinavyoeleza.ilikua mwishon mwa mwez wa 6 nilienda kumtembelea mkubwa angu ambaye n kaka angu anaefanya kaz arusha .sasa sehem alikopanga kuna pia wadada wawili...
2 Reactions
37 Replies
3K Views
Habari za asubuhi wakuu. Kwanza nianze na mtiririko wa matukio. Asubuhi nimeenda kwenye shughuli zangu,nikawasiliana naye vizuri tukaagana kama ilivyo kawaida ya wapenzi wengi, jioni nimetoka...
5 Reactions
90 Replies
9K Views
Kwa miaka mitano nadhani nisha kwambia kila kitu.. Natafakari kitu kipya cha kukwambia lakini naona kama sina. Unajua nakupenda sana sana inafikia kipindi naamini kweli mapenz yanaua."I LOVE YOU...
5 Reactions
103 Replies
9K Views
Binafsi huwa nashangaa sana inakuwaje kuwaje mtu anaacha "vyombo" vizuri na vyenye ngozi nzuri anaenda kwa mzungu ambaye ngozi yake haina hata mvuto? Kwa wanawake ukweli unaeleweka huwa...
3 Reactions
81 Replies
14K Views
Mtu asiyekuwa na mpenzi anakuwa yuko huru katika maisha yake,anakuwa amekwepa kifungo cha utumwa....anachokitafuta katika maisha ni kwa ajili ya tumbo lake tu,akipata akikosa hakuna...
2 Reactions
24 Replies
2K Views
Jina lang said saly nd niitwavyo ...nkaa mabibo...nataft mchumba awe wakwel na mpend din yake...naoend diN zote
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Mwenyekujua jina la hii movie tafahali.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Sometimes nakuwa nimechill sehemu alone napata kinywaji Wakati huu wa kupata kinywaji pendwa/pombe napatwa na mawazo mengi sana ya namna ya kutoka kimaisha Nikiwa nakunywa nakumbuka jinsi...
3 Reactions
21 Replies
3K Views
Ukiwa na mchepuko ambaye ni mke/mme wa mtu kihisia huwa inaumiza sana hasa pale yule mchepuko anapokuwa na mume/mke wake.Unahisi kama vile anakusaliti,kwa kujiuliza ninapopita mimi na yule naye...
1 Reactions
20 Replies
1K Views
1:Huna hadhi ya kuwa na Mimi[emoji1787] 2:Hujui mapenzi[emoji1787] 3:Nilikuwa nakuchuna/nakutumia tu[emoji1787] 4:.............. 5:............... 6:................. 7...
0 Reactions
46 Replies
5K Views
Safari yangu ya mapenzi Ilianza nikiwa chuo miaka ya 2003;huko sekondari sikuweza kutokana na mazingira yasiyokuwa huru. Nilikuwa napiga pombe sana ndio ilikuwa starehe ya kwanza, Pia nilikuwa...
0 Reactions
2 Replies
983 Views
Kama unapenda chini usiogope kupima;kuna rafiki yangu huwa tunashauriana katika shughuli mbalimbali...leo amenifuata,akaniambia brother najisikia mgonjwa mgonjwa nimecheki malaria maabara...
0 Reactions
9 Replies
948 Views
Nawasilisha kama tulivyokubaliana kwenye azimio la hivi karibuni kwamba uvunguni mwa kitanda ndo stoo. Pia sheria za kufanya usafi ni mpaka pawe na appointment, kuosha vyombo siku ya kupika n.k...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Hili nimeliona katika jamii, kuna watoto ambao hawachapwi kabisa kutokana na makosa yao na wazazi wao zaidi zaidi wanakanywa lkn hawachapwi hao watoto, kuna nyingine ile mtoto anachapwa huku...
0 Reactions
80 Replies
13K Views
Back
Top Bottom