AbuuMaryam
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,649
- 4,756
1. Wakati wapo wanawake wapo single...kwa namna tofauti tofauti...Iwe SINGLE MOTHER au SINGLE LADY...ila tu hajapata bahati au neema ya kuolewa...na wengine MASHAA ALLAH wamejihifadhi uchi wao hawataki kujidhalilisha kugawa gawa pasina urasmishaji wa NDOA...na wanatamani LEO KESHO JAPO NAO WAPATE WAOAJI WALIO SERIOUS WAOLEWE...
Wakati huo huo wakijenga picha vichwani mwao...vile watakavyokuwa wanalala kitanda kimoja na waume zao...vile watakavyokuwa wanawahudumia waume zao...vile maufundi wanajituma kitandani na kuwagawia waume zao tunda lao la ndoa...UNAONA KABISA HUYU BIBIE ANATAMANI MUME LEO KESHO...
2. VILE VILE wapo wengine ambao wanachepuka kwenda kwa michepuko kwenda kukidhiwa matamanio ya nafsi zao kwa mabwana wa nje...kutokana na ubize wa waume zao na uchovu wao...unaosababisha kutowatendea haki wake zao...(WANAWAKE HAWA ALLAH AWAONGOZE WAACHE TABIA HII)...
3. LAKINI IPO WANAWAKE WENGINE...ALLAH AWASAMEHE KABISA...HAWA WANA MTIHANI MZITO KABISA...WAMEPATA NEEMA YA NDOA...wamepata waume ambao wapo fit kimwili na kiafya...na wakigegedwa wanakunwa ipasavyo...LAKINI YENYEWE HAIJUI NEEMA HII...OLE WENU...
MGAWANYO HUU WA NEEMA...UNASHANGAZA SANA...KUNDI NAMBA 1 KULE JUU...WENGI WAO WANAENDA KUWA KAMA HAWA WALIOPO KUNDI NAMBA 3 HAPA CHINI...WANAPOJISAHAU JUU YA NEEMA WALIOPEWA NA MOLA WAO...(hawa ndio wa kuwaolea mke mwenza...)
KUNDI NAMBA 1 KULE JUU WANAWEZA KUWA KUNDI NAMBA 2...AMBAPO WANACHOKITARAJIA KIKAWÀ TOFAUTI NA UHALISIA WATAKAOKUTA NDOANI...
ILA WANAWAKE WALIOPO KUNDI NAMBA 3...MSIICHEZEE HIYO NEEMA MLIYOPEWA NA MOLA WENU...MTAJA JUTA MWENYE KUITAMANI HIYO NEEMA AKAIPATA NA AKAITENDEA HAKI...
Wakati huo huo wakijenga picha vichwani mwao...vile watakavyokuwa wanalala kitanda kimoja na waume zao...vile watakavyokuwa wanawahudumia waume zao...vile maufundi wanajituma kitandani na kuwagawia waume zao tunda lao la ndoa...UNAONA KABISA HUYU BIBIE ANATAMANI MUME LEO KESHO...
2. VILE VILE wapo wengine ambao wanachepuka kwenda kwa michepuko kwenda kukidhiwa matamanio ya nafsi zao kwa mabwana wa nje...kutokana na ubize wa waume zao na uchovu wao...unaosababisha kutowatendea haki wake zao...(WANAWAKE HAWA ALLAH AWAONGOZE WAACHE TABIA HII)...
3. LAKINI IPO WANAWAKE WENGINE...ALLAH AWASAMEHE KABISA...HAWA WANA MTIHANI MZITO KABISA...WAMEPATA NEEMA YA NDOA...wamepata waume ambao wapo fit kimwili na kiafya...na wakigegedwa wanakunwa ipasavyo...LAKINI YENYEWE HAIJUI NEEMA HII...OLE WENU...
MGAWANYO HUU WA NEEMA...UNASHANGAZA SANA...KUNDI NAMBA 1 KULE JUU...WENGI WAO WANAENDA KUWA KAMA HAWA WALIOPO KUNDI NAMBA 3 HAPA CHINI...WANAPOJISAHAU JUU YA NEEMA WALIOPEWA NA MOLA WAO...(hawa ndio wa kuwaolea mke mwenza...)
KUNDI NAMBA 1 KULE JUU WANAWEZA KUWA KUNDI NAMBA 2...AMBAPO WANACHOKITARAJIA KIKAWÀ TOFAUTI NA UHALISIA WATAKAOKUTA NDOANI...
ILA WANAWAKE WALIOPO KUNDI NAMBA 3...MSIICHEZEE HIYO NEEMA MLIYOPEWA NA MOLA WENU...MTAJA JUTA MWENYE KUITAMANI HIYO NEEMA AKAIPATA NA AKAITENDEA HAKI...