Suala la kiongozi wa dini kuwa kiongozi wa familia yako ni upumbavu

ISLETS

JF-Expert Member
Dec 29, 2012
8,121
5,332
Igwee..

Kwanza samahani wa wanandoa(hasa wanaume) ulio kwenye huu upumbavu wa kutokutamba mipaka ya ndoa.
Imetokea zaidi ya mara moja nimeona wanaume(wanaojiita baba wa familia) wanashindwa kutoa maamuzi ya mwisho juu ya mambo ya kifamilia kwa madai apaka akamuulize baba mchungaji mara mzee wa kanisa sijui nani nani wa kanisa wakati sio swala la kidini, huo ni udhaifu mkubwa na haufai hata kuwa baba wa familia.

Mfano 1: Jamaa mke wake alikuwa mgonjwa, taarifa ya daktari ni kwamba mgonjwa anashida ya moyo na akimbizwe hospitali kubwa haraka sana. Jamaa alivyo jinga anapiga simu kumuita mzee wa kanisa ndio aende kusikiliza maelezo ya daktari, kama kwamba yeye hana mamlaka ya kuamua juu ya matibabu ya mke wake. Hivi hii ni akili au matope ! Bora hata angesema mzee wa kanisa akashushe maombi watu wangemuelewa.

Mfano 2: Jamaa ana mgogoro wa kifamilia na mkewe, inahusisha mambo ya michepuko na ushahidi anao. Ila anashindwa kuyajenga na mkewe wala kuongea naye chochote anaenda kuyaeleza kwa mchungaji, tena yuko ya mbele ya mchungaji na mama mchungaji akiwepo analialia mambo ya familia yake. Hivi mwanaume ukikosa kifua cha kuhimili jambo dogo kama hilo, si ni bora abaki single!!

Mifano hai ipo mingi, wala sio stori za kutunga. Lengo langu si kudharau umuhimu wa viongozi wa kidini, la, bali kuna vitu huwa sio kwa kulalamika kwao, wao wakomae na maswala ya dini na maombezi basi.
Mwanaume jitahidi kuwa msemaji wa mwisho ndani ya nyumba yako, mambo ya kulia lia kwa viongozi wa dini ni ya wanawake(wao kwao hili ni tatizo la kudumu na halina tiba).
Kuruhusu mchungaji kuwa na sauti zaidi yako kwenye nyumba yako ni kumkaribisha shetani, ndio shetani atatumia huo huo mwanya kuharibu ndio. Mwisho wa siku mtumishi wa bwana anaaza kujitetea oooh ule sio mkono wangu ni wa baunsa.


Hasta La Vista.
 
Igwee..

Kwanza samahani wa wanandoa(hasa wanaume) ulio kwenye huu upumbavu wa kutokutamba mipaka ya ndoa.
Imetokea zaidi ya mara moja nimeona wanaume(wanaojiita baba wa familia) wanashindwa kutoa maamuzi ya mwisho juu ya mambo ya kifamilia kwa madai apaka akamuulize baba mchungaji mara mzee wa kanisa sijui nani nani wa kanisa wakati sio swala la kidini, huo ni udhaifu mkubwa na haufai hata kuwa baba wa familia.

Mfano 1: Jamaa mke wake alikuwa mgonjwa, taarifa ya daktari ni kwamba mgonjwa anashida ya moyo na akimbizwe hospitali kubwa haraka sana. Jamaa alivyo jinga anapiga simu kumuita mzee wa kanisa ndio aende kusikiliza maelezo ya daktari, kama kwamba yeye hana mamlaka ya kuamua juu ya matibabu ya mke wake. Hivi hii ni akili au matope ! Bora hata angesema mzee wa kanisa akashushe maombi watu wangemuelewa.

Mfano 2: Jamaa ana mgogoro wa kifamilia na mkewe, inahusisha mambo ya michepuko na ushahidi anao. Ila anashindwa kuyajenga na mkewe wala kuongea naye chochote anaenda kuyaeleza kwa mchungaji, tena yuko ya mbele ya mchungaji na mama mchungaji akiwepo analialia mambo ya familia yake. Hivi mwanaume ukikosa kifua cha kuhimili jambo dogo kama hilo, si ni bora abaki single!!

Mifano hai ipo mingi, wala sio stori za kutunga. Lengo langu si kudharau umuhimu wa viongozi wa kidini, la, bali kuna vitu huwa sio kwa kulalamika kwao, wao wakomae na maswala ya dini na maombezi basi.
Mwanaume jitahidi kuwa msemaji wa mwisho ndani ya nyumba yako, mambo ya kulia lia kwa viongozi wa dini ni ya wanawake(wao kwao hili ni tatizo la kudumu na halina tiba).
Kuruhusu mchungaji kuwa na sauti zaidi yako kwenye nyumba yako ni kumkaribisha shetani, ndio shetani atatumia huo huo mwanya kuharibu ndio. Mwisho wa siku mtumishi wa bwana anaaza kujitetea oooh ule sio mkono wangu ni wa baunsa.


Hasta La Vista.
Pole, nasikitika Uzi wako utakua na comment chache mno
 
Kuna mtu wangu wa karibu huwa anapenda kusema 'mwanaume ni lazima uwe askari'..!!

Badluck, wanaume wa aina hiyo wakitoka hapo watakuja kulia lia hapa, Ooh' wanawake hawatuheshimu mara wanataka usawa.!!

Wanaume asilimia kubwa nowdays wamerojeka sana, hawana maamuzi tena, hawawezi simamia nafasi zao kama wanaume thabiti maskiini, wanaongoza kulia machozi kuliko hata wanawake.!!

MUNGU awarehemu wanaume wetu..!!
 
Kuna mtu wangu wa karibu huwa anapenda kusema 'mwanaume ni lazima uwe askari'..!!

Badluck, wanaume wa aina hiyo wakitoka hapo watakuja kulia lia hapa, Ooh' wanawake hawatuheshimu mara wanataka usawa.!!

Wanaume asilimia kubwa nowdays wamerojeka sana, hawana maamuzi tena, hawawezi simamia nafasi zao kama wanaume thabiti maskiini, wanaongoza kulia machozi kuliko hata wanawake.!!

MUNGU awarehemu wanaume wetu..!!
Nadhani wa namna hiyo wamekuelewa.
 
Igwee..

Kwanza samahani wa wanandoa(hasa wanaume) ulio kwenye huu upumbavu wa kutokutamba mipaka ya ndoa.
Imetokea zaidi ya mara moja nimeona wanaume(wanaojiita baba wa familia) wanashindwa kutoa maamuzi ya mwisho juu ya mambo ya kifamilia kwa madai apaka akamuulize baba mchungaji mara mzee wa kanisa sijui nani nani wa kanisa wakati sio swala la kidini, huo ni udhaifu mkubwa na haufai hata kuwa baba wa familia.

Mfano 1: Jamaa mke wake alikuwa mgonjwa, taarifa ya daktari ni kwamba mgonjwa anashida ya moyo na akimbizwe hospitali kubwa haraka sana. Jamaa alivyo jinga anapiga simu kumuita mzee wa kanisa ndio aende kusikiliza maelezo ya daktari, kama kwamba yeye hana mamlaka ya kuamua juu ya matibabu ya mke wake. Hivi hii ni akili au matope ! Bora hata angesema mzee wa kanisa akashushe maombi watu wangemuelewa.

Mfano 2: Jamaa ana mgogoro wa kifamilia na mkewe, inahusisha mambo ya michepuko na ushahidi anao. Ila anashindwa kuyajenga na mkewe wala kuongea naye chochote anaenda kuyaeleza kwa mchungaji, tena yuko ya mbele ya mchungaji na mama mchungaji akiwepo analialia mambo ya familia yake. Hivi mwanaume ukikosa kifua cha kuhimili jambo dogo kama hilo, si ni bora abaki single!!

Mifano hai ipo mingi, wala sio stori za kutunga. Lengo langu si kudharau umuhimu wa viongozi wa kidini, la, bali kuna vitu huwa sio kwa kulalamika kwao, wao wakomae na maswala ya dini na maombezi basi.
Mwanaume jitahidi kuwa msemaji wa mwisho ndani ya nyumba yako, mambo ya kulia lia kwa viongozi wa dini ni ya wanawake(wao kwao hili ni tatizo la kudumu na halina tiba).
Kuruhusu mchungaji kuwa na sauti zaidi yako kwenye nyumba yako ni kumkaribisha shetani, ndio shetani atatumia huo huo mwanya kuharibu ndio. Mwisho wa siku mtumishi wa bwana anaaza kujitetea oooh ule sio mkono wangu ni wa baunsa.


Hasta La Vista.
Hata wale wanaoenda kutubu kwa viongozi wa dini. Yaani unashindwa kwenda moja kwa moja kwa Yesu unahangaika kupita kwa kiongozi wako wa dini.
1Timotheo2: 5 Kwa maana kuna Mungu mmoja na mpatanishi mmoja kati ya Mungu na wanadamu, yaani mwanadamu Kristo Yesu,
 
Mkikutana na wababe wenye kuamua mnalalamika "mwanaume gani amekumbatia mfumo dume,hashauriki"

Mkipata mwanaume anayesikilza na kukushirikisha kwa anayofanya mnaanza tena "mwanaume huyu dhaifu sana,hawezi kufanya maamuzi mpaka mkewe aseme"

Sasa huwa mnataka nini nyie watu?????
Kuna mtu wangu wa karibu huwa anapenda kusema 'mwanaume ni lazima uwe askari'..!!

Badluck, wanaume wa aina hiyo wakitoka hapo watakuja kulia lia hapa, Ooh' wanawake hawatuheshimu mara wanataka usawa.!!

Wanaume asilimia kubwa nowdays wamerojeka sana, hawana maamuzi tena, hawawezi simamia nafasi zao kama wanaume thabiti maskiini, wanaongoza kulia machozi kuliko hata wanawake.!!

MUNGU awarehemu wanaume wetu..!!
 
Hata wale wanaoenda kutubu kwa viongozi wa dini. Yaani unashindwa kwenda moja kwa moja kwa Yesu unahangaika kupita kwa kiongozi wako wa dini.
1Timotheo2: 5 Kwa maana kuna Mungu mmoja na mpatanishi mmoja kati ya Mungu na wanadamu, yaani mwanadamu Kristo Yesu,

Hili nalo ni jambo ambalo huwa nalishangaa sana. Watu wengi hawaamini kama wakiomba wenyewe watapata msahama, kila kitu mpaka waombewe.
 
Nitongoze mwenyewe, nimchumbie mwenyewe, nitoe mahari mwenyewe, nioe mwenyewe na niishi na Mke mwenyewe afu pakiwa na tatizo baina yangu na Mkewangu suluhisho kwa Mchungaji...daaah..."Africa is a dark continent"...
 
Ni habar zakimama sna.
mtu mkewe analiwa namichepuko na ushahid anao lakin bado anaitisha vikao kutafuta suluhisho
 
vitu nilivyoshindwa kufanya kanisani ni 'kutangaza mafanikio yangu kama ushuhuda' na 'kutoa sadaka kiasi kikubwa wakati nina madeni'
 
Back
Top Bottom