Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Hawa watoto (waKenya) wanalia sana licha ya kupata kujulikana taifa nzima
1 Reactions
9 Replies
991 Views
NI Wikiendi nyingine tunapokutana kwenye ukurasa huu mzuri. Ni matumaini yangu kwamba msomaji wangu unaendelea na majukumu yako vizuri. Siku chache zilizopita, nilitembelewa na mmoja kati ya...
4 Reactions
16 Replies
6K Views
1. Usipokee simu ukiwa na mke wa mtu, unaweza kuwa unafuatiliwa ili uuliwe fala wewe. 2. Usitumie gari yako inayofahamika, chukua Taxi, UBER, bajaj au boda boda kuku wewe. 3.Usiandikishe jina...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
A Nigerian lady has a story that i can compare to one of the theads herein Jf., but why..why? Here we go... A Nigerian single mother has revealed what she faced after giving birth to her child...
0 Reactions
1 Replies
721 Views
Hivi huwa mnakwama wapi? Hivi nguvu ya Nyegezi ni kubwa kiasi hicho? Fuateni kalenda kuepuka mimba msizozitarajia Uzi tayari.
10 Reactions
209 Replies
22K Views
excuse me wakuu, Nina wakati mgumu coz huwa ninatongozwa na wasichana mpaka sasa wanne hivi kwa nyakati tofauti hao ndi nimekua nao kwenye mahusiano, ila sasa ninaowataka mimi siwapati huwa...
0 Reactions
36 Replies
2K Views
Heshima kwenu wakuu, Mtaalam wa mapenzi, Bi. Layla Quinn, anasema wamaume ni viumbe rahisi sana kuridhishwa tunapokuja katika suala la unyumba. Mwanzoni, kitu kinachomhamasisha mwanaume...
1 Reactions
13 Replies
115K Views
Hii amri ukiisikia unaweza kuona ni ndogo lakini ni kubwa sana. Mpendane kama nilivyowapenda mimi. Inamaana tukipendana hatuta; ibiana, sema uongo, tamani wake na waume wa wengine, sengenyana...
14 Reactions
47 Replies
3K Views
Rejea hapo nyuma wale vijana wa rika lako ambao walionekana watukutu shuleni na mtaani, walitazamiwa kuja kuishi maisha magumu kwa sababu ya kuchukiwa na wazazi wao pamoja na watu wengine. Maisha...
4 Reactions
17 Replies
2K Views
Wakuu heshima zenu!!! Bila kupoteza wakat niende kwenye point ya muhimu ilionifanya kufungua hii mada,, mm ni kijana mwenye miaka 20 na kwasasa nipo mwanga kilimanjaro,,,,, mpango wangu hasa ni...
1 Reactions
22 Replies
3K Views
Nimefanya utafiti wangu jana usiku wakati napata ulabu sehem flani kuna watoto wa shepu mbali mbali, wanene, warefu, wafupi, wembamba n.k. Katika kunogesha stimu nikaona nifanye utafiti kidogo...
5 Reactions
60 Replies
10K Views
Yaani dating za siku hizi ni upuuzi tu haswa upate demu ambaye anakimbizana na ma-insta twitter,fb na kwingineko Yaani ushamtongoza tu mmeanza mahusiano utasikia "nitumie picha ya dushe lako"...
1 Reactions
61 Replies
9K Views
Hii ni njia bora kabisa kwa wanaume ambao wameachana na wapenzi wao ni kuwatumia tuu wanawake wengine na kuwakimbia, yaani hiyo ni njia bora kabisaa sio unakuwa na mke mara hamna kutoka, lakini...
1 Reactions
18 Replies
3K Views
Habari zenu huku, Kuna kitu nataka kukiweka wazi kwa baadhi ya wanaume walioko kazini au mtaani kuhusu kuwa na mahusiano na mabinti wa chuo. Mabinti wengi wa chuo wana wanaume nje ya chuo na...
11 Reactions
73 Replies
9K Views
Salam sana wandewa wa JF! Tarehe kama ya leo nikiwa Kidato cha Nne, nilimpoteza Mamaangu. Nilipokea taarifa za kifo chake nikiwa shuleni, kupitia kwa Mkuu wa shule ambae nae alipewa taarifa na...
30 Reactions
75 Replies
6K Views
Leo nikuwa nasoma gazeti nikakutana na hii newz. Eti mahusiano hasa mwanaume akimzidi mwanmke miaka 10 -14 nakuendelea kisaikolojia huwa kunakuwa na mapenzi ya dhati eti kwa kuwa mwanaume anakua...
5 Reactions
286 Replies
27K Views
Wanaume wengi wanashindwa kutambua wanawake kwa haraka hasa katika sekta ya tongozo. MWanamke ni kiumbe mmoja ambae ni makini sana na ni mgumu kuonesha hisia zake haraka. Unaweza ukamtongoza...
2 Reactions
41 Replies
6K Views
Natafuta mpenzi. Kama kuna binti mzuri aliyeko Musoma.Cheupe na tako awe nalo. Aje pm tuyajenge.
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Kuna kijimtindo/kitabia kibaya kimeibuka siku hizi wadada kubweteka muda wa kupekenyuana wadada mnajifanya nyie kazi yenu ni kupanua miguu na kubinua kiuno juu mnadhani kazi inaishia hapo. Sasa...
36 Reactions
170 Replies
22K Views
Maan Kila mtu akitoa wazo wengi hata hawasomi ni matusu tu Kama mtu umeamka na Mawazo ya kifara sibora upigane na maisha yako Kiukweli hi Tania si nzur pia Ina boa sana
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom