ibby
JF-Expert Member
- Mar 20, 2017
- 415
- 584
Habar za saa izi
Mimi nikijana wa miaka 33 na ninamke, miaka 4 sasa na nina mtoto wa miaka 2 mambo yamebadilika bada ya kudai kwamba naithamanisha familia yangu kuliko yake akawa anacukizwa kuona mimi niki ipa sapoti familia yangu kazuwa visa badae kakata mawasiliano na ndugu zangu toka kwa wazazi hadi....
Tatizo limezidi badaa ya kuona mawasiliano ya mwanamke kwenye simu ila ilikuwa kusalimiana tu na mwaamke huyo anafanya kazi huko warabuni mimi nipo ughaibuni so anadai talaka eti aondoke hataki kuishi namimi tena,,,hanieshimu jeuri ,,;..
Ifahamike pia anafanya kazi wife na mimi sijawahi ku cheat sababu narizika naye na namukhofu Mungu pia !
Mimi nikijana wa miaka 33 na ninamke, miaka 4 sasa na nina mtoto wa miaka 2 mambo yamebadilika bada ya kudai kwamba naithamanisha familia yangu kuliko yake akawa anacukizwa kuona mimi niki ipa sapoti familia yangu kazuwa visa badae kakata mawasiliano na ndugu zangu toka kwa wazazi hadi....
Tatizo limezidi badaa ya kuona mawasiliano ya mwanamke kwenye simu ila ilikuwa kusalimiana tu na mwaamke huyo anafanya kazi huko warabuni mimi nipo ughaibuni so anadai talaka eti aondoke hataki kuishi namimi tena,,,hanieshimu jeuri ,,;..
Ifahamike pia anafanya kazi wife na mimi sijawahi ku cheat sababu narizika naye na namukhofu Mungu pia !