TULIOCHELEWA USAFIRI WA BUS AU NDEGE.

TULIOCHELEWA USAFIRI WA BUS AU NDEGE.

AbuuMaryam

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2015
Posts
2,649
Reaction score
4,756
Ile umeshakata zako ticket mapema mwenyewe...siku ya safari unaamka na lile giza la chumbani...linakudanganya...bado bado...

Unaenda kuangalia saa inakuambia ni saa 3 asubuhi...unafikicha macho labda iwe ni saa 9 alfajiri...lakini bado unajidanganya labda hujaona vizuri au saa imepoteza majira...unaenda kufungua pazia uone giza la nje linavyokujali...fungua dirisha au pazia hivi...mara paaP JUA LINAKUSALIMIA KWA MIALE YAKE BOMBA KABISA KWA AJILI YA VITAMIN D na K.

Mapigo ya moyo yanaanza kufukuzana ukikataa kuamini unaloliona...unaenda kucheck TICKET imeandikwa..."KUWAHI NI WAJIBU WA ABIRIA...NAULI HAIRUDISHWI KWA KUCHELEWA KWA UZEMBE."

Nini kilikusibu mpaka ukachelewa kuamka...Ulichukua hatua gani baada ya kuchelewa...?
 
Imenikumbusha siku moja nchi za watu huko na hawaongei kiingereza
Ndege inaruka sa 12 asbh check in walau sa 10 alfajiri ilikua nadhani

Nmeamka nimeajiandaa nlipangiwa taxi ntamkuta nje hapo sa 9 asbh natoka hayupoo nadaaa emptyyy na hapo sina wi-fi tena kufanya mawasiliano yooyote

Ahh nlihisi kufa jmn wont forget

Nlibahatika tu kuvizia taxi zinazopita kwa nadra sn
Lugha hatuelewani hatuongei kando ya kutaja jina la airport X na akaelewa ndo ilikua salama yangu
Sijui ingekuwaje ngechelewa
 
Back
Top Bottom