Nilimtongoza akanikataa, ila bado ananitafuta

Nilimtongoza akanikataa, ila bado ananitafuta

Anataka huyo... Mwanzo yalikua mapozi, sasa wewe ukaogopa mapema (anko Magu kabana mtaani, anatafuta pa kupatia chai bwe.ge huyo jichunge)
 
Mwambie aje ghetto akigoma mtukane kuanzia kuanzia asubuhi mchana jioni usiku na alfajiri hapo utakua umempa haki yake ili asikuchezee akili maana anadrama nyingi kama anacheza telenova
 
Muulize kwann alikukataa na kwann anakutafuta na atakubaliana na utakayotaka?
 
kuna vigezo aliweka nahisi kaondoa kama sio kupunguza ili ufit wewe

ndio walivyo hao
 
sasa mkuu sijakuelewa, unatuuliza sisi ili tukusaidie kumuuliza yeye anataka nini kwako au unataka maoni yetu?
 
Back
Top Bottom