Mie siko kwa mtu mkuu. Nimefikia hotelini. Niko tu hapa KariakooKaribu Nakwede ila umeongea maana usije kumpa tabu mwenyeji wako bure kila siku usiku makonda anapita majumbani mwetu kukagua wageni ambao wanakuja dar nila kuoga nakutahadharisha jitahidi uoge mapema usije mletea shida mwenyeji wako
Kanakuja kwako? Mie sitaki kwenda kwa mtu bwana!!! Niko hotelini. Mie huwa siendagi kwa watu ujueNingekukaribisha ila sema leo na appointment na katoto kamoja ka chou kamemaliza UE naenda kukamua
Hebu nielekeze vizuri maana mie sio mwenyeji hapa kwenye jiji lenu.basi ngoja nikuje area,niko hapa moroco ndani ya nusu saa niko hapo
Kwangu katakujaje wakati nina mke nakamulia guest. Ningekutafuta sema muda sinaKanakuja kwako? Mie sitaki kwenda kwa mtu bwana!!! Niko hotelini. Mie huwa siendagi kwa watu ujue
Napenda beach hasa za Kigamboniwaoooo kalibu sana niambie unapenda kwenda maeneo ya beach au kutoka usiku kwenye night clubs manake huku masaki ndio kwenyewe i wish nikutembeze ule bata sana
Njoo PM tuyajenge mi nimeshindwa i dont know how this thing workKanakuja kwako? Mie sitaki kwenda kwa mtu bwana!!! Niko hotelini. Mie huwa siendagi kwa watu ujue
WanaJF mlioko Dar es salaam naomba mnitoe upweke.
Mwenye kuwa tayari kutaka kunitoaga upweke, aje PM.
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
Gharama za kula na kunywa nitajipigapiga mimi mwenyewe.
Utakakamua 24 hrs?Kwangu katakujaje wakati nina mke nakamulia guest. Ningekutafuta sema muda sina
Niko hotelini. mwajiri kanilipia siku tano mkuuPa kulala njoo kwangu....
Sawa ngoja nije sasa hiviNjoo PM tuyajenge mi nimeshindwa i dont know how this thing work
Jamani nimeshasema niko hotelini Kariakoo (career call)Karibu kwangu ndugu yangu chumba ni kimoja me nitalala chini
Nikitoka kukamua nitakuwa nimechoka sana maana haka katoto nakajua bila bao 3 ni kama umekachafua tuUtakakamua 24 hrs?
Njoo tutakoke moto beach japo leo hali ya hewa mawingu mawingu kuhusu usafiri usijali na driveSawa ngoja nije sasa hivi
πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈ