Kwa muda mrefu nimekua nikijiuliza swali hili kutokana na utaratibu uliopo nyumbani kwangu. Juzi nilikuta kuna ugomvi kati ya wife na house maid wetu, ambapo yule binti alikua amefura kwa hasira...
Kwanza kabisa huu ugonjwa unawahusu baadhi narudia tena BAADHI na si wote ya wanaume wa dar na wa mikoani haujachagua hivyo kelele za kurushiana mpira kati yenu hazitobadili ukweli.
Kwakweli...
Naombeni yeyote mwenye uwezo wa kunisaidia kufanikisha kupatikana kwa huyu mama maarufu kidogo...
Nina shida nae kubwa sana huyu mama angu...
Kama kuna mtu ni jirani yake...basi naomba hata aje...
Hili sasa halina mjadala au ubishi kuwa kumtongoza mke wa mtu ni rahisi sana kama kusukuma tairi katika mteremko wa mlima kitonga. Lakini ni ngumu mno kutongoza hawa wasichana wetu wa kiswaz wana...
Kidawa binti mrembo alimaliza masomo yake ya ukatibu muhtasi kule Tabora na kupata ajira mjini. Akiwa mgeni ofisini aliletewa kadi ya mchango wa harusi, ilikuwa ni harusi ya mdogo wa mfanyakazi...
Wanabodi habari za jioni,
Naomba mnisaidie,yeyote anayefahamu utaratibu wa mahari kwa ndugu zetu wamasai umekaaje anisaidie,nakaribia kwenda umasaini kwa issue za mahari,mwenye uzoefu aumwage...
Nasikia sikia tu humu ndani...huwezi kumtumia huyu Member message...
Na mimi nikajaribu kwa mmojawapo wa walalamikiwa...
Tunaomba tufahamu...hiyo program ya kulock PMs ni ya wadada tu au...
Ni siku ya tatu tangu nimtongoze huyu Single mother na kukubaliana nae kiutu uzima kuhusu kuunganisha vikojoleo vyetu,
--Sasa Siku ile ile yaani juzi baada ya kukubaliana tu jioni kanicheki...
Habari.
Mimi jaman kuna jambo lanitatiza, kuna demu ananipenda kuliko maelezo yaan sana tu kila kitu anafanya yaan nikisema kila kitu muwe mnaelewa. (Kufua, kupika, kuosha, kudek nakadhalika)...
Habarini wana MMU. Licha ya mazuri mengi sana ninayofanyiwa na mke wangu ila kuna kitabia kimoja kinanikwaza sana, ni hivi ninapotoka zangu job nikiwa nimebeba chochote...
Salamu kwenu waungwana,
Nimewahi kusikia huku nchi za watu kuna ndoa au mahusiano ya mkataba.
Kama wewe ni mume au mke unakubaliana na mwenzako kuwa katika mahusiano ya kimapenzi au ndoa kwa...
Napenda niwashauri vijana wenzangu ambao bado tuna safari ngumu yenye kuhitaji kazi kubwa nguvu zetu bado zinahitajika kwanza tujiepushe na zinaa kwani inatumaliza nguvu day mpaka...
Wakuu habarini!
Natafuta mchumba mwenye vigezo vifuatavyo.
1. Awe mweupe
2. Umbo namba nane
3. Tako liwepo la kawaida yaani lisizidi sana wala kupungua sana.
4. Elimu kidato cha nne mpk degree...
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28 mwajiriwa katika private sector ninatafuta binti wa kuchumbia ili baadae awe mke wangu wa maisha.
Sifa za binti
Awe mcha Mungu,
Amemaliza kidato cha nne na...
Wakuu,
Wiki kadhaa zilizopita nilipandisha uzi hapa JF kuwa kuna Beki tatu wangu wa kitanga ana ni Seduce. Huyu Beki 3 nimfanyeje?
Sasa vimbwanga aliviendeleza na wife hakuwa akiniamini...
Ni Sikh nyingine tena niliyoitenga kuwapa wasiyoyajua wanajf wenzangu. kama ilivyokawaida dunia ina mengi sana ya kushangaza na kustaajabisha.
Moja ya mambo usiyajua wewe msomaji wa Uzi huu ni...