sukariyawarembo
Senior Member
- Aug 2, 2019
- 169
- 119
Habari.
Mimi jaman kuna jambo lanitatiza, kuna demu ananipenda kuliko maelezo yaan sana tu kila kitu anafanya yaan nikisema kila kitu muwe mnaelewa. (Kufua, kupika, kuosha, kudek nakadhalika) tuki nae mwaka wa pili huu. Lakin mimi simpendi na sio chaguo namba moja kuoa ana miaka 24.
Ila kuna hako binti ana miaka 18 ,tuko mwaka mmoja kwenye mahusiano, ninampenda hadi nalia peke angu, ila kenyew ananipenda kidogo sio sana. Mfano nikimletea zawadi lazima akosoe, hanifulii japo huwa anipika ila kwa mbinde, kuja nyumban kwangu hadi aamue mwenyewe.
Kama hataki kitu huwezi kumlazimisha la sivyo kananuna,, haniiti majina mazuri mfano sweet,hubby,sinyonyo,dear, banana, my king, n.k. kenyew kaniita tu we shubiri yaw arembo njoo apa.
Sasa nataka kuoa, sasa najiuliza yupi wa kuoa kati yao?
,
Mimi jaman kuna jambo lanitatiza, kuna demu ananipenda kuliko maelezo yaan sana tu kila kitu anafanya yaan nikisema kila kitu muwe mnaelewa. (Kufua, kupika, kuosha, kudek nakadhalika) tuki nae mwaka wa pili huu. Lakin mimi simpendi na sio chaguo namba moja kuoa ana miaka 24.
Ila kuna hako binti ana miaka 18 ,tuko mwaka mmoja kwenye mahusiano, ninampenda hadi nalia peke angu, ila kenyew ananipenda kidogo sio sana. Mfano nikimletea zawadi lazima akosoe, hanifulii japo huwa anipika ila kwa mbinde, kuja nyumban kwangu hadi aamue mwenyewe.
Kama hataki kitu huwezi kumlazimisha la sivyo kananuna,, haniiti majina mazuri mfano sweet,hubby,sinyonyo,dear, banana, my king, n.k. kenyew kaniita tu we shubiri yaw arembo njoo apa.
Sasa nataka kuoa, sasa najiuliza yupi wa kuoa kati yao?
,