Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,674
Ni siku ya tatu tangu nimtongoze huyu Single mother na kukubaliana nae kiutu uzima kuhusu kuunganisha vikojoleo vyetu,
--Sasa Siku ile ile yaani juzi baada ya kukubaliana tu jioni kanicheki mwanae anaumwa nikatoka kumsindikiza hospitali na kulipa
--jana kanicheki nikamnunulia baadhi ya mazaga ya pale gheto kwake
--Leo mchana kanicheki kasema kesho anaomba nimpe hela ya kusukia sijui Rasta nikasema ok sawa hapa najua haipungui 25K
--Jioni hii muda si mrefu kanicheki kasema anaomba 15K akatoe kwenye mchezo wake kijumbe anamsumbua,
Sijamjibu bado namfikiria maana hata Mbunye yake bado sijailamba ila naona kaja na moto.
--Sasa Siku ile ile yaani juzi baada ya kukubaliana tu jioni kanicheki mwanae anaumwa nikatoka kumsindikiza hospitali na kulipa
--jana kanicheki nikamnunulia baadhi ya mazaga ya pale gheto kwake
--Leo mchana kanicheki kasema kesho anaomba nimpe hela ya kusukia sijui Rasta nikasema ok sawa hapa najua haipungui 25K
--Jioni hii muda si mrefu kanicheki kasema anaomba 15K akatoe kwenye mchezo wake kijumbe anamsumbua,
Sijamjibu bado namfikiria maana hata Mbunye yake bado sijailamba ila naona kaja na moto.