Mwanaume zingatia hili!

Mwanaume zingatia hili!

Muuza simu used

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2017
Posts
4,393
Reaction score
7,107
Ukisikia fainali uzeeni ni fainali kweli kweli sio mchezo kama mwenyezi Mungu akikujalia kufika huko!
Ni kipindi ambacho unaweza kukuta mkeo amekukimbia na watoto wote uliojibana kusomesha shule za gharama wamekusahau kabisa wapo wanakesha Instagram kuhonga watoto wazuri!
Mwanaume weka mikakakati kuhakikisha ukifika faina hautegemei msaada wa kiumbe chochote duniani isipokuwa mwenyezi Mungu
N.B,jihadhari kabla ya hatari
 
unakuta mzee wa watu muda huo angetakiwa hata awe ameshakufa ila anapewa mapumziko ya muda kupambana kupata kiinua mgongo
 
Back
Top Bottom