Mademu mbona mnapenda sana K-vant

Mademu mbona mnapenda sana K-vant

Napoleone

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2012
Posts
10,085
Reaction score
16,063
Wakuu,kuna kitu nmekumbuka hapa baada ya kusoma uzi wa ushimen.

Well,hili nmelishuhudia zaid ya mara ya 4 sasa.hawa mabint skuhiz

Mnaweza kunywaa weee mi bia mwisho wa siku mkitaka kuanza ngumu.yeye lazima atake Hii kitu...na hatak nyingne

Je nauliza,whyyyyy?.

Ni zaid ya wadada wa 3 naona wanapendelea sana hii kitu...
Jana nmetoka mahala na mdada ,tumekunywa sana bia,akawa yuko vzur tayar,..tunarud tumefika mahala anasema anashuka anaenda chkua K-vant

I was like..b..tch...
Kuna nn chin ya kvant,au inawapa genye nn

Uz tayar
 
Sema kweli mzee.. Wanapenda sana Vant! Tusuburi tuone
 
Baby ukiona sehemu nimeandika natumia kilevi chochote ujue nimeongopa.....hiyo kvant hata kuishuhudia kwa macho sijawahi
AISEE bora umekuwa mkweli, kilevi kwako naona kimepita kushoto
 
Mleta mada, naomba untake radhi tafadhali.....
Kwa hiyo namimi ninavyo penda Whatever-Vant ni Ke...!!??
 
Mleta mada, naomba untake radhi tafadhalu.....
Kwa hiyo namimi ninavyo penda Whatever-Vant ni Ke...!!??
Hahah,nisamehe ushimen,..kiukwel ulinikumbusha kitu muhim sanaaa
 
Back
Top Bottom