my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,017
- 2,384
Wanaume wengi wanao date wanawake wenye sura na muonekano mbaya wanakuwa na low self esteem. Wanakuwa hawajiamini wanahisi kama muda wowote akitokea mtu anayemzidi pesa au power anaweza kuachwa 😂 au wanakuwa wanahisi wanawake wazuri huwa na wanaume wengi kumbe hata sio kweli hii yote ni kukosa kujiamini.
Wakati mwingine wanahisi ha deserve kuwa na mwanamke mzuri cuz sio type yake yeye type yake ni wale wabaya tu😆 Na vile kama akiwa hana pesa ndio anakuwa hawajiamini kabisa anakuwa anaishi kama mwizi ameona police.
Kuna wakati hata wakipendwa kutoka moyoni hawa amini 😂 sasa mtu unaishi vipi na mtu usiyekuamini unaamua umuache kweli akatafute asiyejiamini mwenzake 😂 hapa ndio anaenda kupata mwanamke hata ajulikani ni mwanamke au vipi kabayaaaa kapo kapo tu hakijulikani ukiwauliza wanasema wanawake wabaya wana tabia nzuri 😂😂😂😂 sasa kajitu kenyewe kabaya lazima awe na tabia nzuri kwa sababu hajiamini 😂😂 tena anaona wewe amekupata kwa bahati atakuwa a najiweka chini tu kwa kila kitu ili asikupoteze.
Tena afadhali wanaume wazee huwa wanajiamini sana kuliko vijana sijui kwanini 😇😇
Wakati mwingine wanahisi ha deserve kuwa na mwanamke mzuri cuz sio type yake yeye type yake ni wale wabaya tu😆 Na vile kama akiwa hana pesa ndio anakuwa hawajiamini kabisa anakuwa anaishi kama mwizi ameona police.
Kuna wakati hata wakipendwa kutoka moyoni hawa amini 😂 sasa mtu unaishi vipi na mtu usiyekuamini unaamua umuache kweli akatafute asiyejiamini mwenzake 😂 hapa ndio anaenda kupata mwanamke hata ajulikani ni mwanamke au vipi kabayaaaa kapo kapo tu hakijulikani ukiwauliza wanasema wanawake wabaya wana tabia nzuri 😂😂😂😂 sasa kajitu kenyewe kabaya lazima awe na tabia nzuri kwa sababu hajiamini 😂😂 tena anaona wewe amekupata kwa bahati atakuwa a najiweka chini tu kwa kila kitu ili asikupoteze.
Tena afadhali wanaume wazee huwa wanajiamini sana kuliko vijana sijui kwanini 😇😇